Nawauliza wale wakina Msumi na Kaisi kuwa Manji bado ni mwenyekiti wa Yanga?
Siku ya jana nilizama kwa mawazo ya maswali ambayo majibu yake hadi muda huu sijayapata, anaandika Matukuta JR,
Siku ya jana nilizama kwa mawazo ya maswali ambayo majibu yake hadi muda huu sijayapata, anaandika Matukuta JR,
Tumekukusanyia mambo 10 ambayo kocha mkuu wa klabu ya Yanga ameyazungumza kwa masikitiko sana. Tupe maoni yako pia katika sehemu ya maoni.
Yanga wa Njaa kali saana ya Ubingwa kuliko Pesa? Soma makala hii
Baada ya Yanga kumwambia Beno hahitajiki tena katika klabu hiyo.
Timu zikiendelea kukimbizana na dirisha dogo la usajili, Ruvushooting pia yafanya yake.
Shirikisho la soka nchini TFF limethibitisha kuwa michezo miwili ya nyumbani ya African Lyon dhidi ya Simba na Yanga itafanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid uliopo Jijini Arusha.
Klabu ya soka ya Azam imewapa mapumziko wachezaji….Stori zaidi.
Habari ambazo zimeenea na viongozi wa Yanga kuwa na kigugumizi kuthibitisha ni kuwa kiungo wa African Lyon na aliyewahi kuchezea Simba, Haruna Moshi “Boban” kuwa amesajiliwa na klabu ya Yanga.
Klabu ya soka ya African Lyon imesema haiwezi kuzungumza lolote kuhusu kuondoka kwa Haruna Moshi Boban ambaye anahusishwa na kujiunga na Yanga SC Kwani bado hawana uhakika na usajili huo na zingine.
Kuna wengine watakumbuka sanaa ambayo alikuwa akiionesha uwanjani,….Stori zaidi.