Usajili wa kwanza kwa Yanga mwaka 2019 ni kumpa U-nahodha AJIBU.
Ajib amefanya vizuri sana kwa mwaka 2018, mpaka sasa anaongoza kwa kutoa pasi za mwisho zilizozaa goli.
Ajib amefanya vizuri sana kwa mwaka 2018, mpaka sasa anaongoza kwa kutoa pasi za mwisho zilizozaa goli.
Mashabiki wa Timu ya soka ya Yanga kutoka Tawi la Meatu lililopo wilayani Meatu Mkoani Simiyu wamesema licha ya baadhi ya Mashabiki kutoka timu pinzani kuwabeza kuwa ni ombaomba wanaamini kikosi hicho kilichopo chini ya kocha raia wa kongo Mwinyi Zahera kitachukua ubingwa wa ligi kuu bara msimu wa Mwaka 2018/19.
Kocha mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema shida….Stori zaidi.
Kocha mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amekubali ombi….Stori zaidi.
Yanga inatakiwa kufanya Uchanguzi, ingawa baadhi ya wanachama hawapotayari.
Ulimwengu wa mpira umebadilika sana. Umekuwa ulimwengu ambao unatumia sayansi kubwa sana ndani ya mpira.
Kocha wa timu ya soka ya Mbeya City ‘Wanakomakumwanya’ Ramadhan Nswanzurimo amesema hatoangalia rekodi ama michezo iliyopita watakapokwenda kucheza na Yanga siku ya Jumamosi kwenye uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Afisa Habari wa klabu ya soka ya Yanga Dismas Ten amesema maandalizi kuelekea katika mchezo wao wa Ligi dhidi ya Mbeya City yanaendelea vizuri na kwamba Kati ya wachezaji 20 ambao wamesafiri na timu hakuna ambaye anamajeraha yatakayomuweka nje ya mchezo huo.
Katika ulimwengu wa Soka, ukisikia jina la “Jose Mourinho” kuna picha nyingi zinakujia kichwani, napicha hizo zinategemeana na jinsi unavyomkumbuka mreno huyo kwa kile alichoifanyia timu yako au kwa jinsi unavyolijua soka la dunia tangu akiwa Fc Porto na vilabu vingine.
Kocha mkuu wa Yanga, Mkongoman Mwinyi Zahera amewaomba….Stori zaidi.