Simba imefagia ‘Mapro’ hawa
Simba inaendelea kujiimarisha kwaajli ya Ligi ya Mabingwa msimu pamoja na Ligi kuu. Huenda ikaleta sura mpya nane kutoka nje.
Simba inaendelea kujiimarisha kwaajli ya Ligi ya Mabingwa msimu pamoja na Ligi kuu. Huenda ikaleta sura mpya nane kutoka nje.
Nidhamu nje ya uwanja imekuwa silaha kubwa kwake yeye kufanya vizuri ndani ya uwanja. Nini wachezaji wetu wanahitaji kujifunza kutoka kwa Kagere?
Tovuti yetu imemkabidhi zawadi yake ya Galacha wa Magoli msimu wa 2018/2019, ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango wake katika upachikaji mabao.
Wanakandanda hawa wote walikuwa wa kwanza kutabiri mabao 23 ya Meddie Kagere.
Heritier makambo mshambuliaji wa Yanga sc ameendelea kuteseka mbele ya mshambuliaji wa Simba Meddie Kagere
Baada ya Emmanuel Okwi na Meddie Kagere kufunga mabao matatu katika mechi moja kwa mara ya kwanza msimu huu katika mchezo dhidi ya Coastal Union ni wazi sasa katika vita ya ufungaji bora imetawaliwa na wachezaji kutoka Simba sc
Safu ya ushambuliaji ya Simba Sc hakika ipo moto, mpaka sasa imeshafunga mabao 44 katika michezo 27 pekee ya Ligi kuu Tanzania bara.
Kocha wa timu ya Taifa ya Rwanda (Amavubi)….Stori zaidi.
Anafanya makubwa zaidi ambayo Mavugo aliwahi kuvifanya. Meddie Kagere mpira wake wa mwisho una madhara makubwa sana kuliko mpira wa mwisho wa Mavugo.
John Bocco yeye husimama katikati ya mabeki wawili muda mwingi. Unaposimama katikati ya mabeki wawili, mabeki huwekeza muda mwingi kwako, hivo kuacha uwazi eneo jingine la nyuma.