Bandari FC yawabania Yanga mrithi wa Kindoki
Klabu ya Yanga katika kujijenga, imeonyesha nia ya kumsajili Shikalo, ili kijijenga katika nafasi ya goli.
Klabu ya Yanga katika kujijenga, imeonyesha nia ya kumsajili Shikalo, ili kijijenga katika nafasi ya goli.
Klabu ya soka ya Yanga imeendelea na usajili wake wa kimyakimya na mapema kama mwalim Mwinyi Zahera alivyosema huku wakifanikiwa kumsajili beki wa kati wa Simba.
Maandalizi ya msimu ujao, kujihakikishia wanaleta upinzani mzito katika soka la Bongo
Baada ya TP Mazembe kuachana na usajili wa Ibrahim Ajib Migomba wiki hii kwa madai ya kutoelewana wao na mchezaji.
“Na mpaka sasa hivi kwenye mikono yake amedai kuwa ana ofa tatu mpaka sasa hivi, hivo tumemwacha aende Afcon, akirudi tutazungumza naye”.
Klabu ya soka ya Yanga imekua katika mawindo ya kimyakimya ya wachezaji wanaowataka kuwasajili ilo kuepusha kupokwa tonge mdomoni na watani zao Simba kutokana na nguvu ya pesa walionayo chini ya Mo Dewji.
Kwa ushirikiano na Rais wa klabu hiyo Florentinop Perez, tayari wameshatenga Paundi millioni 300 zaidi ya shilingi bilioni 930 za kitanzania kwa ajili ya usajili mpya katika dirisha la usajili la kiangazi
Inaripotiwa kuwa, zidane ana mipango ya dhati ya kukisuka kikosi cha Los Blancos kilichopoteza mataji kadhaa hadi sasa chini ya wakufunzi Julen Lopetegui na Santiago Solari.
Mshambuliaji mrefu na msumbufu mbele ya lango Donald Ndombo Ngoma leo amemwaga wino na kusaini dili jipya .
Beki wa kati kutoka Porto fc ya Ureno ndio usajili wa kwanza kabisa wa Zidane baada ya kurejea Santiago Bernabeu.