Kocha Simba: Tunaitaka Nusu Fainali.
Fainali ya mwaka huu itafanyika mkoani Tanga wakati michezo ya nusu fainali itafanyika Singida na Mtwara.
Fainali ya mwaka huu itafanyika mkoani Tanga wakati michezo ya nusu fainali itafanyika Singida na Mtwara.
Yanga itaanzia ugenini kati ya April 21 na 23 nchini Nigeria katika mchezo wa kwanza kabla ya kurudiana nao Rivers kati April 28 na 30 katika Dimba la Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam.
Pia Shirikisho la soka Barani Afrika CAF limethibitisha michezo ya fainali kwa mashindano yote hiyo itafanyika katika mfumo wa nyumbani na ugenini kama ambavyo awali ilikua ikifanyika tofauti na mwaka jana pekee ambapo mchezo wa fainali ulikua mmoja tu.
Kiungo huo wa Taifa Stars baada ya kuiongoza Yanga kuvuka makundi na kwenda robo fainali sasa wanatarajiwa kucheza na kati ya Pyramida, USM Algier au Rivers United
Matajiri hao wa Misri wanatumia uwanja wa 30 June wanawajua vizuri Yanga kwani tayari walishakuka nchini kucheza na Wananchi na walifanikiwa kuwaondosha Yanga katika Playoffs ya Kombe la Shirikisho
Tangu ilipochukua ubingwa mwaka 2018 bado haijawa tena tishio sana na kama Simba watakwenda Tunisia kucheza nao robo fainali itakua ni mara yao ya kwanza kwa miaka ya hivi karibuni
Tayari klabu ya Simba imeonyesha kuhitaji ushindi katika mchezo huo na kwa kuonyesha wanauchukulia kwa umuhimu mchezo huo wachezaji wote wanapaswa.
Kwa ushidi huo sasa Yanga inaongoza kundi lake mbele ya US Monastir ya Tunisia huku ikiwaacha Real Bamako na TP Mazembe ikitolewa katika mashindano hayo.
Vilabu vya Afrika Kasakazini kama ilivyo ada vimeendelea kuonyesha ubabe wao kwani kati ya vilabu nane vilivyofuzu nusu ni kutoka katika nchi za Kiarabu.
Simba itampasa kuchanga vyema karata zake katika mchezo wa kwanza kama kweli wanataka kwenda nusu fainali kwani wataanzia nyumbani mchezo wa kwanza na kumalizia ugenini mchezo wa mwisho.