Tovuti hii inakuletea mkutano wa kwanza wa kocha wa muda wa Mashetani Wekundi, Manchester United Ole Gunnar na waandishi wa habari uliofanyika jana tarehe 21-12-2018 kufuatia upya wake katika klabu na mechi dhidi ya Cardiff city jumamosi hii.
Klabu ya Real Madrid imethibitisha kuwepo nje kwa takribani wiki nne, sawa na mwezi mmoja kwa mshambuliaji wake, Mhispaniola Marcos Asensio.
Kiungo mjerumani na anayelipwa mshahara mrefu zaidi ndani ya washika mitutu wa London,Arsenal, Mesut Ozil yuko sokoni kwa sasa, na muda wowote huenda akatimkia kusiko julikana.
Miongoni mwa mechi ambazo haziji kusahaulika barani ulaya na duniani kwa ujumla ni mechi ya raundi ya 16 bora klabu bingwa barani ulaya iliyochezwa Machi 8, mwaka 2017 kati ya Barcelona na Paris-Saint Germain. Ilikuwa ni mechi ya marudiano baada ya ile ya kwanza iliyochezwa pale ufaransa na PSG kuibuka na ushindi wa magoli 4-0, katika mchezo huo wa marudiano pale Nou Camp Barca waliibuka na kitita cha magoli 6-1, na kuwasukuma nje ya mashindano PSG.
“Usiku wa deni haukawii kuisha” hivi ndivyo kochawa Manchester United Jose Mourinho alivyokuwaakisubilia hatma yake katika klabu hiyo ya mashetani wekundu baada ya matokeomabovu katika ligi na klabu bingwa barani ulaya. Hatimaye imethibitishwa kuwakocha wa mabingwa wa Europa msimu wa 2016/17 ametimuliwa rasmi.
Hivi unamkumbuka Mikel Arteta Amatriain? Achana na Miguel Arteta, mtengeneza filamu, namaanisha yule mkata umeme wa Arsenal miaka ya 2011,aliyekataukame wa vikombe kwa miaka 9 pale kwa washika bunduki wa Arsenal akicheza kama kiungo mkabaji chini yaArsene Wenger.
Katika ulimwengu wa Soka, ukisikia jina la “Jose Mourinho” kuna picha nyingi zinakujia kichwani, napicha hizo zinategemeana na jinsi unavyomkumbuka mreno huyo kwa kile alichoifanyia timu yako au kwa jinsi unavyolijua soka la dunia tangu akiwa Fc Porto na vilabu vingine.
Klabu ya soka ya KRC Genk anayocheza mtanzania….Stori zaidi.
TIMU ya Taifa ya Vijana ya Tanzania, Serengeti Boys imebeba taji la michuano ya Vijana kwa Nchi za Kusini mwa Afrika (Cosafa) U17 kwa kuifunga Angola kwa mikwaju ya penati.
Mpira ni sayansi , yaani lazima kuwe na utaratibu maalumuambao utaiwezesha timu kupata matokeo kutokana na hitaji la mechi husika.