Nani Galacha wa Kandanda 2018?
Soma maelezo ya kila mchezaji tuliyempendekeza, upige kura kumchagua nani ni bora zaidi.
Soma maelezo ya kila mchezaji tuliyempendekeza, upige kura kumchagua nani ni bora zaidi.
Yanga inatakiwa kufanya Uchanguzi, ingawa baadhi ya wanachama hawapotayari.
Ligi ya Wanawake Tanzania
Kocha wa timu ya soka ya Mashujaa ya….Stori zaidi.
Hizi ni habari mbaya, si nzuri hata kidogo kwa mashabiki na klabu ya Liverpool kwa ujumla, hii ni baada ya kinara wa ufungaji katika klabu hiyo Mohamed Salah kuzawadiwa mkwaju wa penati baada ya kumdanganya muamuzi katika mchezo wa ligi uliochezwa jana dhidi ya New Castle United ya Rafa Benetiz.
Simba udhaifu wake ni upi? Je anaweza kuwa katika chungu kipi wakati wa upangwaji makundi? Makala ina majibu yote.
Tulimwamini sana, tulimpa kila kitu. Mioyo yetu ilimpa mahaba yote. Kibaya zaidi tulimwamini kuliko mtu yeyote kwa sababu tu 3-5-2.
Simba walifanikiwa kufuzu hatua ya makundi, lakini moja ya mashujaa walioibuka katika mchezo huo ni kiungo wa Simba, Chama.
Kabla sijakupeleka mbali, kwanza vuta taswira ya paka, kisha mkaribishe kocha wa Simba SC, Patrick Aussem katika medulla ya ubongo wako kisha anza kumtafsiri kwa kukumbuka kama ndiye aliyeirudisha historia iliyoadimika kusikika kwa wekundu wa msimbazi na nchi kwa ujumla baada ya miaka 15 kabla ya kufuzu raundi ya makundi klabu bingwa barani Africa.
Magoli ambayo yameifanya Simba kuingia hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa barani Africa. Ndiye bosi halali wa kikosi cha Simba kwa sasa.