Binadamu anajifunza wakati wote kutokana na makosa au kwa uhitaji wa jambo fulani, na mara zote lengo la mtu kukwambia ukweli hata kama unauma ina maana kuwa ubadilike au uboreshe au upunguze, lengo likiwa ni moja tu kukufanya uinuke tena.
Hawaumia kuona Haji Manara anakiuza kipaji chake?, hebu waumizwe na hii hali kisha watafute wasimamizi wazuri wa vipaji vyao.
Ukisikia “Breaking News” usishangae maana kwa sasa kama ni maji basi yatakuwa yameshafika shingoni.
Si tukio la kawaida sana katika soka lakini limejitokeza katika mechi ya Simba na Leopard. Chama alizozana na mwamuzi baada Mzamiru Yasin kumfanyia rafu mchezaji wa Leopard,
Kipindi hiki kila nchi barani Afrika, Asia, America na Ulaya kote nyasi zinapambana na mikimikiki ya mashindano ya ligi mbalimbali, mashindano ya vilabu bingwa na mechi za kimataifa kila timu fikra, mawazo, mbinu mbadala za uchezaji na za kiutendaji zinafikiria wanafanyaje kufikia malengo yao makuu.
Hukumu hiyo ya kamati ya maadili ya FIFA inaelezwa kukazia ile hukumu ya kamati ya rufaa ya TFF
Tayari ndege za uokozi tano, pamoja na boti mbele zimejielekeza kuitafuta ndege hiyo kuzunguka sehemu ambayo ilipoteza mawasiliano.
“Kila mechi huwa tunajitahidi kuumiliki mpira na kujaribu kutengeneza nafasi nyingi za magoli, hata hapa tutafanya hivyo, sisi hatukuja kujilinda tumekuja kucheza”.
Matukio ya unyanyasaji waandishi wa habari ni ya nadra sana Ghana
Kwa mujibu wa IFJ mara ya mwisho mwandishi kuuawa nchini Ghana ni mwaka 2015
Leslie amesema maelezo ya mwanadada huyo yanaweza kuwasaidia katika kesi yao ya ubakaji,