KMC hali tete, majeruhi kibao
Katika hatua nyingine KMC FC imerejea Jijini Dar es salaam alfajiri ya leo ikitokea mkoani Singida na kwamba kesho itaanza kufanya maandalizi kuelekea katika mchezo unaokuja dhidi ya Tanzania Prisons
Katika hatua nyingine KMC FC imerejea Jijini Dar es salaam alfajiri ya leo ikitokea mkoani Singida na kwamba kesho itaanza kufanya maandalizi kuelekea katika mchezo unaokuja dhidi ya Tanzania Prisons
Kampuni ya Parimatch ndio kinara wa michezo ya kubashiri mtandaoni na imekuwa ikitoa ofa kubwa ya bonasi ya 100% mpaka TZs 1,000,000 kwa wateja wapya wanaojiunga nasi.
Football ni Industry ambayo inawapenzi wrngi sana ulimwenguni, na ni mfano huo huo unajionesha katika soka la Tanzania. Makala hii inaonyesha ni kwa nini one should invest in it.
Hizi ni mechi zote za ligi kuu wiki hii, matokeo na ratiba. Tupe utabiri wako hapa.
Nyimbo gani hizo ambazo zinaweza kudumu, kama ile ya Pepe Kale kwa Yanga.
wautazame sana msimu ujao ni namna gani wataisuka timu yao ili iwe yenye ushindani na kuchukua taji la ubingwa
Baada ya mchezo huo kumalizika mashabiki waliojitokeza uwanjani hapo walilizunguka gari lililobeba wachezaji wakiwashukuru kwa juhudi walizozionyesha msimu huu licha ya kuambulia kombe la Mapinduzi pekee.
Umemfikiria Luis Miquissone ??umemfikiria Clotaus Chama?? umemfikiria Okwi?? unawafikiria lakini?? nauliza umewafikiria hao watu,je? ni team gani Tanzania wachezaji hao watakaa benchi??
“Walianza kunifwatilia muda tuu kumbe hata kabla ya kusaini Dodoma Jiji, waliniona na wakaomba video zangu wakatumiwa mechi nilizocheza na kocha akapendekeza jina langu kusajiliwa katika timu yake.
Tunadharau kiingilio kidogo cha SIMBA, Bhakresa anauza vitu kwa shilingi mia.