Ali Kamwe: Tutawaonyesha Mazembe sisi ni nani!
Yanga ina kila sababu yakushinda mchezo huo wapili katika kundi lao ili kuweka matumaini yao hai yakuelekea robo fainali.
Yanga ina kila sababu yakushinda mchezo huo wapili katika kundi lao ili kuweka matumaini yao hai yakuelekea robo fainali.
Baada ya raundi hiyo ya nne kumalizika washindi wote watakaopata ushindi na kuvuka watakutana robo fainali ya michuano hiyo
Tumepata baraka zote kutoka kwa wadhamini wetu wakuu M-bet ambao ndio wana haki yakukaa mbele kifuani. Sisi sio madalali hatuwezi kuuza eneo mara mbili.
Kiungo wa Simba aliojiunga nao katika dirisha dogo akitokea Geita Gold ndio mchezaji aliehusika katika mabao mengi zaidi [mabao 20].
Tony ambaye atakuwa na kazi ya kutetea mkanda wake wa ubingwa ABU dhidi ya Sabelo Ngabinyana kutoka Afrika Kusini hali iliopelekea kuwepo kwa mapambano mawili ya ubingwa wa ABU kwenye pambano hilo.
Baada ya mchezo wa Namungo sasa Yanga inaelekea katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika watakaocheza ugenini nchini Tunisia dhidi ya US Monastir.
KMC FC inakwenda kwenye mchezo huo ikiwa imeshacheza jumla ya michezo 21 na hivyo kukusanya alama 23, huku ikishika nafasi ya 10 kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya NBC soka Tanzania Bara.
Michezo yote sita (miwili ya ndani) ni muhimu kwa Simba katika kuamua mbio zao za ubingwa dhidi ya Yanga lakini pia michezo mitatu ya Kundi D itaamua kama watafuzu tena na kwenda robo fainali ya Ligi ya Mabingwa.
Baadhi ya michezo ya 16 ni pamoja na Simba dhidi ya African Sports, Yanga dhidi ya Tanzania Prisons na Azam Fc dhidi ya Mapinduzi Fc pia Kagera Sugar atavaana na Mbeya City.
Novemba 4, 1961 kwa mara ya kwanza watu walishuhudia mbio za kwanza za magari Kyalami, circuit hii inaurefu wa kilometa 4,104 inakumbukwa sana kutokana na bara bara zilizonyooka