Yanga sio kinyonge wabeba alama ugenini
Baada ya mchezo huo sasa Yanga inafikisha alama nne nakuendelea kukaa katika nafasi yake yapili nyuma ya US Monastir wenye alama saba.
Baada ya mchezo huo sasa Yanga inafikisha alama nne nakuendelea kukaa katika nafasi yake yapili nyuma ya US Monastir wenye alama saba.
Kwa hesabu zozote zile leo Yanga hawapaswi kupoteza mchezo kama itashindikana alama tatu basi angalau wapate alama moja ili kuendelea kuweka hai matumaini yao ya kufuzu robo fainalo
Katika mchezo mwingine wa kundi hilo Raja Casablanca atamkaribisha Horoya kutoka Guinea katika dimba la Mohamed VI mabapo Vipers alisuulubiwa kwa mabao matano kwa sifuri.
Licha ya utitiri wa wachezaji katika eneo la kiungo la Yanga lakini Mudathir ameweza kupambana na kupata nafasi ya mara kwa mara tena katika michezo yote ya mashindano yote wanayoshiriki Yanga.
Lakini endapo Simba watapata sare ama kupoteza maana yake ndoto zao zakufika nusu fainali mwaka huu zitakua zimekufa rasmi bila kujali matokea ya Horoya dhidi ya Raja.
Siwezi kukuombea mazuri wewe na wenzio mkiwa uwanjani na timu yenu , lakini kama rafiki yako nitaendelea kukuheshimu daily , Kwa unachoendelea kutoa Kwa ajili ya football ya nchi hii.
Shambuliaji huyo ambae pia ni nahodha wa Simba ameendela kuuwasha moto katika Ligi hiyo tangu ilipoanza na kuonekana ameongezeka makali kutoka na uzoefu mkubwa alioupata katika Ligi ya Mabingwa Afrika
Tony atapanda ulingoni katika pambano hilo kutetea mkanda wake wa Ubingwa wa Afrika ABU ambao alishinda mwaka jana kufuatia kumchapa kwa pointi Bongani Mahlangu wa Afrika Kusini.
Mshambuliaji wa zamani wa PSG, Fulham na Manchester United Luis Saha amewataja wachezaji wake bora duniani kwasasa akiwataja nyota wawili kutoka Ufaransa na Uingereza.
Simba si tu hawana alama lakini pia hawajafunga bao lolote mpaka sasa katika michuano hiyo hivyo mchezo wa Vipers unatarajiwa kuwa mgumu na wakufufua matumaini yao yakufuzu robo fainali ya Klabu Bingwa Afrika.