Simba: Utachagua alama tatu au kucheza vizuri.
Mechi dhidi ya Horoya tulicheza vyema lakini hatukupata matokeo sasa utachagua ucheze vizuri au upate alama tatu
Mechi dhidi ya Horoya tulicheza vyema lakini hatukupata matokeo sasa utachagua ucheze vizuri au upate alama tatu
Lakini pia anaongea kwa ufasaha lugha za Kiarabu, Kingereza na Kiswahili na hivyo kuwa rahisi kuwasiliana na wachezaji wake.
Simba wanakwenda kutupa karata yao ya nne katika kundi lao ambapo msimamo wa kundi unaonyesha bado wana nafasi wakiwa na alama zao tatu huku wapinzani wao Vipers wakiwa na alama moja pekee.
Kwa ushindi huo sasa Yanga wanaifwata Simba robo fainali ya michuano hiyo ambayo Yanga ndio bingwa mtetezi wa kombe hilo.
Kwaupande wake Nahodha wa KMC FC Sadalah Lipangile amesema kama wachezaji wanatambua umuhimu wa mchezo huo huku akiwasihi mashabiki kutokukata tamaa kwasababu bado wana nafasi ya kufanya vizuri
Hatupo tayari kuishia hatua ya makundi. Tulikwenda kuchukua alama tatu kwa Vipers lakini hatujamaliza
Kutokana na ushindani huo umepelekea kuwekwa kwa rekodi mbalimbali na kunogesha ligi hiyo ambayo ni namba tano kwa ubora barani Afrika.
Klabu ya soka ya Yanga leo jioni itashuka….Stori zaidi.
Mara ya mwisho Feisal kuitumikia Yanga ilikua katika mchezo dhidi ya Polisi Tanzania uliopigwa katika dimba la Benjamin Mkapa na kuisaidia timu yake kupata ushindi wa bao moja kwa sifuri.
Goli hilo lilionekana kushangiliwa kwanguvu na mashabiki wa Simba kutokana na ufundo mkubwa uliokua unaonyeshwa na Mohamed Mussa