Saliboko awapa KMC mapumziko.
KMC FC itakaporejea mbali na kukutana na Geita Gold Aprili 17 , pia itakuwa na kibarua kingine dhidi ya Dodoma Jiji, Singida Bigi stars, Tanzania Prisons pamoja na Mbeya City
KMC FC itakaporejea mbali na kukutana na Geita Gold Aprili 17 , pia itakuwa na kibarua kingine dhidi ya Dodoma Jiji, Singida Bigi stars, Tanzania Prisons pamoja na Mbeya City
Klabu ingependa kumshukuru kwa juhudi zake za kutochoka wakati alipokua klabuni na kumtakia mafanikio katika majukumu yake ya baadae
Simba na Yanga wakiwa ugenini wameshindwa kabisa kujitutumua na hivyo kuangukia pua katika michezo yao ya raundi ya pili.
Mitaa ya wajanja pale Mwananyamala ilisimama kwa muda….Stori zaidi.
Mchezo huo unategemewa kuwa na ushindani mkubwa kwani timu hizo zinafuatana katika msimamo wa Ligi
Uganda wanakwenda kucheza michezo miwili dhidi ya mahasimu wao Tanzania ambapo itawalazimu kucheza michezo yote nje ya kwao Uganda
Klabu ya Newcastle United imeonyesha nia ya kumhitaji mlinzi wa kati na nahodha wa Manchester United.
Yanga watajilaumu wenyewe kwa kukosa ushindi mnene kwani Yanick Bangala alikosa mkwaju wa penati na hivyo kuinyima Yanga bao la tatu
Ahmad ameongeza kuwa katika mchezo wa kesho kama Timu inahitaji matokeo mazuri kutokana na kwamba KMC FC hapo kwenye nafasi nzuri na hivyo kuhitaji zaidi ushindi
Ligi ya NBC inaelekea ukingoni huku michezo mingi ikionekana kuwa na ushindani mkubwa mno na hivyo kupelekea ligi kuzidi kunoga na michezo kuvutia.