Elfu tano tuu inakupa mamilioni kibao!
Ni hivi kwa salio dogo kabisa la kianzio cha Tsh 5,000/= unaweza kushinda mpaka Tsh 3M.
Ni hivi kwa salio dogo kabisa la kianzio cha Tsh 5,000/= unaweza kushinda mpaka Tsh 3M.
Licha ya Geita Gold kutangulia kufunga lakini Yanga walitulia na kurudi kwa kasi kipindi cha pili, walirudisha bao hilo na kuongeza mengine na kupata ushindi mnono.
Goli la tatu Baleke alilifunga katika dakika ya 34 kwa kupata pasi ya kichwa kutoka kwa Shomary Kapombe baada ya kuunganisha mpira wa juu uliopigwa na Sadio Kanoute “Putin”.
Huu ni mchezo pekee wa Yanga katika Ligi kwa mwezi Machi kwani baada ya mchezo huu watakwenda katika majukumu ya Kimataifa
Kwa kufunga mabao hayo matatu “hatrick” anaungana na John Bocco, Fiston Mayele na Ibrahim Mukoko msimu huu ambao nao wamefunga hatrick na kufanya zifike tano msimu huu.
Usinga wa Yanga umerejea kwenye mkono wake wa kushoto, Namba tano imerejea kuwa eneo lake, uwanjani ni Ofisi yake na ‘First Eleven’ ya Yanga ni wafanyakazi wenzake na yeye akiwa Kingozi wao
Tayari klabu yake ya Simba juzi ilishatoa taarifa rasmi yakumtakia kila lakheri nyota wao huyo aliyefanya vyema katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na kuwepo katika kikosi bora cha mashindano
Kikosi cha Simba kimefanya mazoezi yake ya mwisho katika Dimba la Jamuhuri Morogoro kuelekea mchezo wao dhidi ya Mtibwa Sugar utakaopigwa katika Dimba la Manungu.
Chagua Aviator kwakua Kuanzia leo mpaka Machi 22, mvua 20 za bure sawa na beti 500 kila siku zitakushukia. Wahi na Ushinde Sasa
Baada ya kumaliza majukumu ya Kimataifa katika michezo ya Klabu bingwa kwa upande wa Simba na Shirikisho kwa Yanga na kupata ushindi sasa wanarudi dimbani katika Ligi Kuu ya NBC.