Prince Dube na Simba ni Damdam
Katika msimu huu pekee Azam na Simba wamekutana mara tatu, mara mbili katika Ligi ambapo Azam alishinda mchezo wa kwanza na sare katika mchezo wapili na huu wa FA ambao Simba imetolewa.
Katika msimu huu pekee Azam na Simba wamekutana mara tatu, mara mbili katika Ligi ambapo Azam alishinda mchezo wa kwanza na sare katika mchezo wapili na huu wa FA ambao Simba imetolewa.
Mwongoza njia Nasrdin Nabi yeye ndie pekee alikuwa anajua ni njia gani anawapitisha japo ilikuwa na miba lakini mkapita salama kwa sare ya Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam
Pia Mgunda alikiri walipoteza mchezo wa Ligi raundi ya kwanza na kutoka sare wapili lakini amesema huu ni mchezo watofauti na una mbinu tofauti.
Sasa Mbelgiji huyo anakibarua chakutetea taji la Ligi ya Mabingwa Afrika lakini pia na taji la Ligi Kuu ya Morocco Batola Pro ili kukifanya kibarua chake kua salama zaidi.
Wananchi Yanga wanatafuta nafasi adhimu yakucheza fainali ya michuano ya Afrika hivyo ni Marumo Gallants pekee wamebaki kama kikwazo kwa Yanga kufikia ndoto yao.
Kuelekea mchezo huo Alli Kamwe ametangaza viingilio vitakavyotumika pamoja na muda wa mchezo utakaochezwa huku ukitoka kuchezeka usiku na sasa utapigwa jioni.
Meridianbet kama kaulimbiu yao isemavyo Chagua Tukupe, wanazidi kujipambanua kila kona ya Tanzania wanazidi kuchanja mbuga na kuteka soka la kubetia wakiwa na michezo mingi ya kasino ya mtandaoni
Injinia Hersi Said amesema wanajua umuhimu wa Morrison hivyo wapo tayari kufanya lolote linalowezekana ili wapate huduma yao Morrison wakiwa ugenini nchini Afrika Kusini
Kabla ya mpira kwenda mapumziko Namungo walichomoa bao hilo kupitia kwa Salum Kabunda aliyenufaika na makosa ya Ally Salim kwa kushindwa kuuokoa mpira wa kona vyema uliopigwa na Shiza Kichuya.
Bonasi ya ukaribisho uliyoipata itawekwa kwenye akaunti yako ambapo hutoweza kuitoa lakini itakuruhusu kucheza sloti za kasino ya mtandaoni na sloti hizo ni nyingi lakini rahisi kucheza na kushinda