Kocha Yanga:Tunapenda Kucheza Mbele ya Mashabiki Wengi
Nae Kenedy Musonda akiongea kwa niaba ya wachezajo wenzake amesema wamejiandaa vyema na wanatarajia kurudi nyumbani wakiwa washindi.
Nae Kenedy Musonda akiongea kwa niaba ya wachezajo wenzake amesema wamejiandaa vyema na wanatarajia kurudi nyumbani wakiwa washindi.
Yanga ipo katika kuendelea kukisuka kikosi chake wakitaka kusajilo wachezaji wenye uzoefu zaidi ili kufanya vyema katika Ligi ya Mabingwa Afrika tofauti na ambavyo walitolewa mapema katika msimu huu.
Tulikuwa na mfadhili miaka michache iliyopita ambaye alihama na kuondoka nchini na klabu iliyumba kutokea hapo. Hatukuweza kulipa mishahara na tuliporomoka katika suala la mafanikio na kupataka matokeo mabaya
Nitoe rai kwa mashabiki wote wa KMC na wakazi wa Kinondoni kwamba bado tuna nafasi yakwenda kupambana mpaka tone la mwisho, ni kipindi ambacho tunahitaji kutumika zaidi ili msimu unaokuja tuweze kuwepo
We can’t fear Marrumo twendenii tukamuue palepale kwa Madiba, twende fainali tubebe ndoto kisha turudi Avic town kuendelea kula Ugali na Sukari.
Raoul Shungu na kikosi cha dhahabu hakuna wa kumsahau mitaa ya Jangwani . Aliifanya Yanga kuwa imara akiipa vikombe na heshima ukanda wa CECAFA.
Pia Injinia Hersi ameonyesha kuheshimu na kuwashukuru viongozi wenzake klabuni hapo kutokana na kazi nzuri na yakutukuka waliyoifanya katika idara zao.
Wananchi walistahili ubingwa huo na kutetea taji lao walilolichukua msimu uliomalizika kutokana na kiwango kizuri walichoanza nacho msimu huu licha ya kupoteza rekodi yao yakucheza bila kufungwa
Beti na Meridianbet mechi za ligi zote, odds ni kubwa sana, usikose pia Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet yenye michezo rahisi ya sloti kama Poker, Aviator, Roulette.
Simba sasa wanakwenda msimu wapili mfululizo bila kutwaa kikombe chochote kikubwa na hivyo kuendelea kuipa nafasi Yanga kuendelea kutawala na kubeba vikombe katika Ligi na Kombe la FA.