Uongozi Azam Fc: Fiston Mayele Ametuambia Ukweli
Zaka pia ameongeza Mayele yupo sahihi na anaongea kitu ambacho ana uhakika nacho kwasababu mpira unachezwa hadharani.
Zaka pia ameongeza Mayele yupo sahihi na anaongea kitu ambacho ana uhakika nacho kwasababu mpira unachezwa hadharani.
Nitamwachia wakala wangu hilo. Kwa sasa, nataka kwenda nyumbani, na kuwa na mke wangu na binti yangu. Kuhusu ni wapi nitacheza msimu ujao,
Nchi hiyo ya Kiarabu inatazama bara la Afrika kama sehemu ambayo wanaweza kupata uungwaji mkubwa mkono katika harakati zao hizo
Miaka 30 imepita tangu nchi hii ikaribie kubeba kombe la Afrika, mara ya mwisho ilikua ni 1993 sasa fikiria nchi imekaa muda wote huo bila kufika fainali.
Anafuatilia PSL sana na anaona kuyumba kwa Chiefs. Ni wazi kwamba inamtia wasiwasi, na kama angepata nafasi ya kujiunga na timu nyingine isipokuwa Chiefs,
La Liga ina tatizo. Kwangu mimi Vinicius ndiye mchezaji muhimu zaidi duniani. Vipindi hivi vya ubaguzi wa rangi lazima visimamishe mechi
Hii inaonyesha ni msimu bora sana kwangu mimi kwahivyo namshukuru sana Mungu, na naomba niendelee hivi mpaka mwisho wa msimu.”
Majeraha msimu huu yamemkatili General asiwe mfungaji bora wa CAF Champions League, asiwe mfungaji bora wa Tanzania, asiwe mchezaji bora wa Tanzania
Onyango aliongeza kuwa si yeye tuu bali kuna wachezaji wengi wanacheza wakiwa na miaka 40 na zaidi lakini pia kwake yeye anaiskiliza klabu yake kama bado wataendelea kumpa nafasi.
Hii itakuwa fainali ya pili mfululizo kwa Wydad na ya tatu dhidi ya Al Ahly, msimu uliopita wawili hao walikutana na Wydad waliibuka washindi kwa na kutwaa kombe hilo.