Yanga Wameloa Taifa, Vita Kuhamia Algeria.
Wananchi sasa wana kibarua kigumu chakupindua matokeo katika mchezo wa fainali ya pili utakaopigwa Jijini Algiers nchini Algeria siku ya June 3
Wananchi sasa wana kibarua kigumu chakupindua matokeo katika mchezo wa fainali ya pili utakaopigwa Jijini Algiers nchini Algeria siku ya June 3
Kulingana na Daily Mail, Southampton na Middlesbrough wana….Stori zaidi.
Kwenye mpira wa kisasa skauti ni mtu muhimu sana, vilabu vikubwa vyote duniani wanamiliki skauti na sisi tumeamua kuungana na wakubwa wenzetu.
Mels ana uwezo wa kuongea lugha kadhaa ikiwemo Kiholanzi, Kiingereza, Kijerumani, Kifaransa na Kiswahili kwa kiasi fulani
Akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu ya Yanga, Jangwani Haji amesema kuwa ili uweze kupata tiketi unahitaji kuwa na N-card ambayo gharama yake ni 1,000 na gharama ya tiketi ni 5,000.
Lengo kuu ni katika sehemu ya mpira wa miguu. Tunahitaji mchezaji ambaye anaweza kutupa matokeo uwanjani, pili, pia ni ushirikiano wa mashabiki ili kuunda PR nzuri kwa klabu nje ya nchi,”
Ukitaka kujua kuchezea Azam FC ni kazi kiasi gani, waulize wachezaji waliokuwa Azam FC kisha wakaenda Simba au Yanga, au waliokuwa Simba au Yanga kisha wakaenda Azam FC,” alisema na kuongeza
Rais huyo wa Yanga pia hakua na shida na Feisal na kusema wamempa machaguo ambayo yeye mwenyewe ataamua alifuate lipi ili aweze kuendelea kucheza soka.
majeshi ya wapinzani yametangaza ushindi yeye anasimama na kuinyanyua bendera ya Simba juu akiamini wakati bora unakuja hivyo wasimame tena na kupigana kwani ushindi uko karibu.
Narudia tena, ongea na Sure Boy akuhadithie maisha halisi ya kuichezea Azam FC. Ongea na Mudathir Yahya akueleze nini ugumu wa kuichezea Azam FC. Hivyo vigoli vyako 16, sasa hivi ungekuwa navyo 6 au 7