Pep: Ushindi Huu Uliandikwa Mbinguni
Manchester City walikuwa wakishiriki fainali ya pili ya Ligi ya Mabingwa ndani ya misimu mitatu, baada ya kushindwa na Chelsea mwaka 2021.
Manchester City walikuwa wakishiriki fainali ya pili ya Ligi ya Mabingwa ndani ya misimu mitatu, baada ya kushindwa na Chelsea mwaka 2021.
Kuondoka kwa Ngoma kutoka kwa mabingwa mara 29 wa Ligi Kuu ya Sudan kumeibua shauku kubwa kutoka kwa vilabu vya soka katika bara la Afrika
Kwanza tunashukuru Mungu maandalizi ya pambano letu la hata usipo lala pata kucha yanaendelea vizuri na matarajio yetu ni kuona tunaenda kuijaza Mlimani City
Kikao hicho kilidumu takribani dakika 15 huku wote wachezaji, mtendaji wa Simba na viongozi wa Western Armenia wakionekana kuchangia maongezi hayo.
Pambano hilo ambalo limeandaliwa na Kampuni ya Promosheni ya ngumi za kulipwa nchini PAF Promotion Company Limited ambapo mapambano mengine ya utangulizi
Huyo ndio Zlatan Ibrahimovi mchezaji mjivuni na jeuri haswa huku akiamini katika kipaji chake na umaridadi wake akiwa uwanjani.
Tunajivunjia mchezaji wetu kutakiwa na timu zote kubwa za Afrika. Ingeshangaza tufanye vizuri alafu isiwe kocha wala mchezaji wetu kutakiwa na timu nyingine
Tutahakikisha tunaweka juhudi sana katika kuleta ushindi kwa timu yetu
Yanga wapo katika mawindo yakupata mlinzi mwingine wakulia baada ya kiwango cha Djuma Shaban kuwa hakieleweki
amekua akizivutia klabu za hapa nchini kwa nyakati tofauti kutokana na uwezo wake mkubwa japo mara kadhaa Simba na Yanga zimekua zikishindwa kutokana na dau lake kubwa