Kiungo Azam Fc: Ligi ya Tanzania ni Bora Kuliko Kenya!
Simba imekuwa ikishiriki Ligi ya Mabingwa mara kwa mara, huku Yanga ikiwa imetinga fainali msimu huu kwenye Kombe la Shirikisho
Simba imekuwa ikishiriki Ligi ya Mabingwa mara kwa mara, huku Yanga ikiwa imetinga fainali msimu huu kwenye Kombe la Shirikisho
Wakati Julio anakabidhiwa timu zilikua zimesalia mechi nne na moja ya lengo alilopewa na kuinusuru timu isishuke daraja na angalau ikaangulie kwenye playoffs wakajiulize.
“Sisi tunakuwa wa kwanza kwenye matukio makubwa na matukio muhimu na leo inakwenda kuwa hivyo
baada ya hapo Yanga haikupoteza tena mchezo wa ligi kuu hadi baada ya mechi 49 (Unbeaten) waliyokuja kuivunja Ihefu fc kwa ushindi wa 2-1!
Pia ningependa kukuambia kuwa haijawahi kuwa juu ya pesa, na kwamba muumini mzuri anajua kuwa pesa tunayopata katika maisha yetu tayari imepangwa
Msemaji wa TFF Cliford Marion Ndimbo tayari ametaja viingilio vya mchezo huo utakaopigwa katika dimba la Benjamin Mkapa majira ya jioni siku ya Jumapili.
Huku kocha Nasreddine Nabi akihusishwa na Kaizer Chiefs, nyota wa zamani wa PSL Bernard Morrison amefanya ulinganisho wa kuvutia kati ya Amakhosi na Wananchi.
Pia nyota aneuhusishwa kuondoka pia dirisha hili la usajili Fiston Mayele amemtakia kila lakheri Nabi akisema ameifanyia kila kitu Yanga
Tayari Yanga imeshaanza mchakato wa kutafuta kocha mpya atakaerithi mikoba ya Mtunisia huyo ambae wiki hii huenda akatambulishwa Kaizer Chiefs.
Yupo kwenye klabu ambayo tumemuwekea mazingira mazuri ya kufanikiwa na amefanya vizuri.