Lazima Mkude Aende Ili Kutengeneza Simba Mpya.
Hii itakuja kuwa faida kubwa sana kwa klabu kwakuwa hiki ndio kizazi ambacho kilipata “exposure” na “experience” zaidi kwenye historia ya Simba kuliko chochote.
Hii itakuja kuwa faida kubwa sana kwa klabu kwakuwa hiki ndio kizazi ambacho kilipata “exposure” na “experience” zaidi kwenye historia ya Simba kuliko chochote.
The Brazilians walitolewa nusu fainali na Wydad Casablanca kwa sare ya kusikitisha wakiwa katika uwanja wa nyumbani katika mchezo wa pili.
Imebainika kuwa, kuna chuma kipya Yanga kipo mjini tayari na huenda kikatambulishwa kupitia mkutano mkuu wa klabu hiyo unaotarajiwa kufanyika keshokutwa
Anajua aina hiyo ya stresi kwa hiyo angeweza kushughulikia presha na stresi vizuri.
Nasraddine Nabi anatarajiwa kutangazwa wiki hii na Kazier Chiefs baada ya kukubaliana katika idadi ya watu anaotaka kwenda nao Chiefs,
Promota wa pambano hilo kutoka PAF Promotion Company Limited alisema kuwa wanatarajia kufanya vipimo vya afya kabla ya pambano
Tovuti yako pendwa ya Kandanda.co.tz inakuletea vichwa vya habari vilivyogonga katika magazeti na mitandao mbalimbali.
Kulingana na vyanzo, Chiefs sasa wamemwambia Nabi kwamba anaweza kuleta hadi wasaidizi wake wawili na wanamwachia kocha kuamua katika idara gani.
Mwamba wa Lusaka alikuwa akizungumza kwenye Facebook moja kwa moja “live”. Mchezaji huyo wa Simba SC
Mchezo wa mwisho wa kufuzu Afcon utapigwa baadae September na hivyo kuamua hatma ya Watanzania kushiriki Afcon kwa mara ya tatu