Jinsi Straika wa Yanga Anavyoleta Utata wa Usajili Huko Sauzi
itawalizimu chama cha soka Afrika Kusini SAFA na uongozi wa PSL kuliamua jambo hili mezani.
itawalizimu chama cha soka Afrika Kusini SAFA na uongozi wa PSL kuliamua jambo hili mezani.
Halafu watu wa Uturuki wamefurahi kusikia tunaenda wamesema tumelipa heshima Taifa lao,
Kuelekea katika mchezo huo tayari uongozi wa Yanga umeshawaita wachezaji wao waliokua mapumzikoni na wataondoka nchini.
Shida iliyopo wana Simba hawana muda wa kumsubiri mtu.
Wana Simba wanakimbia hivyo hawapo tayari kuongozana na mtu anaetembea
Ibwe pia aliiambia Kandanda.co.tz jezi namba 10 ya Azam Fc msimu ujao itavaliwa na chuma cha kuotea mbali waachane na wakata umeme sijui jezi namba sita kama inavyosemwa na watu wa Kariakoo.
Usajili huu utaanza rasmi Julai 10, 2023 kwenye matawi yote ya NMB. Tembelea tawi lililo karibu yako kupata maelekezo zaidi.
Ligi Kuu DR Congo alikokuwa akicheza kwenye kikosi cha FC Lupopo kusimama kwa sababa za kiuchumi na vita na sasa yupo Bongo
Gallants wamethibitisha wachezaji walioachana na timu hiyo, miongoni mwao ni mwenye umri wa miaka 30 ambaye anatajwa kutambulishwa na Glamour Boys.
Kambi ya Nasraddine Nabi imethibisha kusikitishwa na kitendo cha Kazier Chiefs kumtangaza kocha mpya licha ya kukaa katika makubaliano kwa muda mrefu
Kuna changamoto ya ligi hii kutozalisha wachezaji wengi wanaocheza katika ligi kubwa duniani hasa zile za bara Ulaya.