
- AFCON 2027: Tanzania Inajiandaa – Kandanda.co.tz Yaleta Maeneo Muhimu ya Mashindano!
- Pamoja AFCON 2027
- Safari ya Yanga, Mikononi mwa Dube
- Simba na Yanga nani anaongoza kuweka mpira kwapani.
- Yanga Waweweseka! Gamondi Nje!
Ajibu kwenda TP Mazembe
Hatimaye TP Mazembe hawataendelea na mazungumzo ya kumuhitaji kiungo wa Yanga, Ibrahim Ajib ambaye mkataba wake umeisha kuitumikia klabu ya Yanga.
Barua pepe iliyotumwa kwa klabu ya Yanga, imeeleza wazi kuwa wamejiondoa kutafuta huduma ya Ajibu baada ya kushindwa kukubaliana naye. Tetesi zinasema Ajib alitaka malipo makubwa zaidi.