“ YES WE CAN” ilianzia Klabu Bingwa itaishia kwa Yanga.
Fursa za Simba kushiriki michuano ya kimataifa zimebaki mbili tu, kuchukua kombe la klabu bingwa Afrika au TPL.
JE inawezekana kirahisi?
Fursa za Simba kushiriki michuano ya kimataifa zimebaki mbili tu, kuchukua kombe la klabu bingwa Afrika au TPL.
JE inawezekana kirahisi?
Hapa ndipo alipofanikiwa, aliweka sumu kali sana. Sumu ambayo iliwafanya wachezaji wawe na uwezo wa kupigana sana.Leo hii vizazi vinaikumbuka Fc Porto ya Jose Mourinho. Timu ambayo ilikuwa haitazamwi kwa kiasi kikubwa.
Okwi amekuwa msaada mkubwa kwa klabu ya Simba na soka la Tanzania wakati wote akicheza hapa.
Je ni dalili ya viongozi na wajumbe wengine kuanza kurudi?
penati aliyomfunga Aishi Manula katika mchezo wa ngao ya jamii, mwaka 2017? “PANENKA PENALTY GOAL” licha ya Simba kuibuka na ushindi lakini penati ya fundi huyo ilionekana kuwa bamba wengi
Uchaguzi wa Yanga umeshafikia hatua nzuri sana. Hatua ya kampeni. Hatua ambayo viongozi hutumia lugha ya ushawishi kwa wanachama.
Hata mtangulizi wa Mwinyi Zahera, George Lwandamina alidumbukia kwenye huba sema viongozi ndiyo waliosababisha aondoke.
Ikumbukwe kuwa bingwa wa michuano hii atapata nafasi ya kucheza na timu ya Everton kutoka nchini Uingereza katika tarehe ambayo itapangwa hapo baadae.
Michuano ya Mapinduzi inaendelea huko Zanzibar
Ajib amefanya vizuri sana kwa mwaka 2018, mpaka sasa anaongoza kwa kutoa pasi za mwisho zilizozaa goli.