Yanga wachoshwa na danadana za Beno Kakolanya.
Uongozi wa klabu ya Yanga umekiri kupokea barua….Stori zaidi.
Uongozi wa klabu ya Yanga umekiri kupokea barua….Stori zaidi.
Tovuti ya kandanda husheherekea na wachezaji wanaofunga mabao mengi katika Ligi Kuu kila mwezi.
Kama ilivyokuwa kwa msimu wa kwanza ambapo timu kutoka Kenya Gor Mahia na AFC Leopards walicheza kwenye ardhi ya Tanzania kutafuta mshindi
Yanga haimuhitaji sana Hajji Manara.
Yanga imepoteza michezo miwili mfululizo, wa ligi kuu mmoja na kombe la sportpesa mmoja.
Kariobangi wamekata tiketi ya kucheza nusu fainali baada ya kuwachapa Yanga kwa mabao 3-2 leo kwenye uwanja wa Taifa katika michuano ya SportPesa Cup.
Yanga imeshindwa kwa mara nyingine kuingia hatua ya nusu fainali ya michuano ya SportPesa Cup baada ya kukubali kichapo cha mabao 3-2 kutoka kwa Kariobangi Sharks ya nchini Kenya.
Yanga ilipoteza mechi yake ya kwanza msimu huu mbele ya Stand United.
Bao pekee la Stand United limefungwa na Jacob Massawe katika dakika ya 88,
Nahodha Jacob Masawe ndie aliepeleka kilio Jangwani.