Kabwili anamwihitaji sana Beno Kakolanya
Mara ya mwisho kwa Yanga kupata cleansheet ilikuwa lini?, wakati unajiuliza jibu sahihi la swali hili kuna kitu pia unatakiwa kujiuliza sana.
Mara ya mwisho kwa Yanga kupata cleansheet ilikuwa lini?, wakati unajiuliza jibu sahihi la swali hili kuna kitu pia unatakiwa kujiuliza sana.
Ni kitu kikubwa sana chenye ushujaa. Baada ya mechi dhidi ya Mbao FC, kinywa chake kilitamka matamanio yake ya kucheza Ulaya tena kwa mara nyingine..
Kocha wa timu ya Namungo Bakari Malima kutoka….Stori zaidi.
Basi viongozi wanatakiwa wawape wananchi kitu ambacho kinaweza kuwa na kumbukumbu kwao, mtu akinunua kitu kinabaki kwake kuliko kumuomba mtu atoe hela bila kupata kitu chenye kumbukumbu.
Ilikuwa ngumu kwa Yanga kupita katikati ya uwanja kwa sababu eneo hili ni bora sana kwa Simba hivo isingewapa nafasi Yanga kufanya vyema kupitia katikati.
Kukubali kusikilizwa kwa Abdalah Shaibu “Ninja” kutakuwa na maana ya kwamba adhabu yake imeondolewa mpaka pale kamati ya nidhamu ya TFF itakapomsikiliza.
Emmanuel Okwi yuko hivo kwa sasa, anajiona kama kiongozi mkuu ndani ya timu ya Simba. Jambo ambalo ni zuri sana.
Inawezekana Mwinyi Zahera hajui matamanio yetu , ndiyo maana anazidi kumbania Beno Kakolanya, ugomvi wao sisi nyasi ndiyo tunaoumia.
Unakumbuka enzi za Boban? Alijua kupiga pasi vizuri, alijua kutengeneza nafasi za kufunga magoli vizuri. Alijua kufunga pia magoli. Alijua kuupaka rangi ya kila aina mpira.
Mlinda mlango huyo ameandika barua ya kuomba kuvunja mkataba.