Yanga wafanye nini kuupata ubingwa?
Mpambano ni mkali kwa jinsi ligi inakoelekea, Simba kajiimarisha ndani na nje, Yanga wafanye nini?
Mpambano ni mkali kwa jinsi ligi inakoelekea, Simba kajiimarisha ndani na nje, Yanga wafanye nini?
Kakolanya atakua katika majuto makubwa kwake na familia yake kwa kuigomea Yanga akishinikiza apewe stahiki zake lakini akikosa nafasi adimu na kuandika historia.
Hakika Yanga wanaweza kuwa ‘wanateseka’ sana na mafanikio ya Simba. Msiteseke sana..
Hawa ndiyo walitakiwa kuitwa Mbumbumbu na siyo mashabiki wa Simba.
Pamoja na kusemekana klabu haina hela lakini Yanga bado wanaendelea kupambana na kupata matokeo.
Kamati ya Nidhamu ya TFF imebaini kuwa Abdalah Shaibu Ninja alimpiga kiwiko beki wa Coastal Union katika mechi iliyochezwa katika uwanja wa Mkwakwani Tanga.
Jana kulikuwa na mechi ambayo ilikuwa na ushindani….Stori zaidi.
Kwenye michezo 10 ya kwanza Ibrahim Ajib aliweza kutoa msaada wa mabao “assist” 13 lakini kwenye michezo mitano ya mwisho ametoa “assist” moja tu.
Ndemla ataungana na Ibrahim Ajib ambaye ashawahi kutoka Simba na Kuja Yanga na waliwahi kucheza pamoja katika timu ya Simba.
Kuna mengi ya kujifunza lakini mwisho wa siku hakuna anayetamani kujifunza, tunatamani kujifunza namna ya kupanda ligi kuu ya Simba na Yanga.