Baada ya Simba na Yanga, Biashara United ndiyo timu bora
“Sisi ni bora baada ya Simba na Yanga kwa hiyo mashabiki waje kushuhudia mechi nzuri”
“Sisi ni bora baada ya Simba na Yanga kwa hiyo mashabiki waje kushuhudia mechi nzuri”
Hawa mashabiki wanaojitolea kwenye kila hali ndiyo wana pesa zetu. Yajengwe mazingira mazuri ya kuwashawishi watoe pesa zao mfuƙoni kwa wingi.
Klabu ya soka ya Yanga imekua katika mawindo ya kimyakimya ya wachezaji wanaowataka kuwasajili ilo kuepusha kupokwa tonge mdomoni na watani zao Simba kutokana na nguvu ya pesa walionayo chini ya Mo Dewji.
Msemaji wa klabu kongwe nchini Dar Young Africans,….Stori zaidi.
Kamati ya bodi ya ligi kuu ya Uendeshaji….Stori zaidi.
Sevilla ina nyota kama Ben Yeder, Jesus Navas na Ever Banega wanaotamba Laliga.
Yanga imefanikiwa sana msimu huu. Mafanikio ambayo hawaamini mpaka sasa kuwa wameyafikia mpaka muda huu.
Yanga ilifanikiwa kushinda kwa mikwaju ya penati, Kindoki akiibuka shujaa siku hiyo.
Yanga na Lipuli watakutana katika hatua ya nusu fainali baada ya Yanga kuitoa Alliance Schools kwa changamoto ya mikwaju ya penati.
Wapenda soka wa Tanzania wataikosa timu bora katika michuano hii ya kombe la shirikisho. Tupe maoni yako…