Wakimataifa ni wanne msimu wa 2019/2020
Msimu wa 2019/2020 ni msimu wa burudani tele kwa wapenzi wa Kandanda nchini, hizi taarifa umezipokeaje? Tupe maoni yako
Msimu wa 2019/2020 ni msimu wa burudani tele kwa wapenzi wa Kandanda nchini, hizi taarifa umezipokeaje? Tupe maoni yako
Mavugo alishindwa Simba kwa sababu mashabiki walimpa presha kubwa. Presha ambayo alishindwa kuimudu.
Mshambuliaji huyo makini wa Ndanda, huenda alikuwa katika orodha ya majina ambayo Mwinyi Zahera aliacha wakati akiondoka kwenda kuungana na kikosi cha timu ya taifa ya Congo.
Mroki Mroki anataka kusajiliwa na Yanga kama mlinzi wa kulia ili akasaidiane na Paul Godfrey wakati huu ambapo Juma Abdul hajajulikana hatma yake
Klabu ya Yanga katika kujijenga, imeonyesha nia ya kumsajili Shikalo, ili kijijenga katika nafasi ya goli.
Huwezi kuingia na kuishi kwenye dunia hii kama hujaruhusu akili kufikiria kibiashara, macho kuona kibiashara na masikio kusikia kibiashara.
Maandalizi ya msimu ujao, kujihakikishia wanaleta upinzani mzito katika soka la Bongo
Harakati za usajili katika klabu ya Yanga zinaendelea kwa kasi kubwa, baada ya msimu uliomalizika kuwa na kikosi hafifu Yanga wanapigana ili wawe na kikosi ambacho ni imara.
Baada ya mchezo huo kocha mkuu wa Yanga amedai kuwa mechi hiyo ilikuwa ni kama ya kirafiki kwa sababu wachezaji walikuwa wanacheza wanavyojisikia.
Taarifa ambazo tovuti yetu imezipata ni kwamba kilichomkwamisha Ajibu kwenda TP Mazembe ni biashara ambayo imefanywa kati ya Ajibu na Simba kabla ya ofa ya TP Mazembe kutua mezani kwa klabu ya Yanga.