Tambwe sio shabiki wa Yanga wala Simba-Mama Tambwe
Mama Tambwe alizungumza mambo mengi, lakini kubwa anasema mumewe huwa anakosa amani pale timu yake ya Yanga inapokuwa imepoteza mchezo
Mama Tambwe alizungumza mambo mengi, lakini kubwa anasema mumewe huwa anakosa amani pale timu yake ya Yanga inapokuwa imepoteza mchezo
Hata yule Morrison akija Simba ni lazima aanze kwanza kugombania nafasi na wachezaji wengine.”
Makala hii inakuletea baadhi ya sajili ambazo zimeonekana kulipa na wachezaji kuingia moja kwa moja katika vikosi vya kwanza na kuleta faidi katika timu
Tuambie ni kwako anafaaa kua usajili bora namba moja katika dirisha dogo na nina aliekuvutia kati ya sajili hizi tano, tupe maoni maoni yako.
Kila mtu sasa anatamani aangalie hata marudio tu ya mechi zilizopita, huku mashabiki wa Liverpool wakilia pia ubingwa wao.
Simba wameonyesha matamanio na kiungo huyo Mkongo huku msemaji wao Hajji Manara akikiri hadharani kuhusudu uwezo wake akisema ni moja ya “box to box midfielder.
Matokeo fair kwa kila timu kwa jinsi zilivyocheza, japo mapungufu ya kiamuzi yameufanya mchezo umalizike kwa sare.
Yanga imepata ushindi huo huku mashabiki wake wakicheza soka safi pia nakuweza kuidhibiti Simba kila eneo uwanjani.
Sven Vadebroek amesema mchezo wa kesho sio mchezo wa kawaida kutokana na kucheza na wapinzani wao wakubwa katika Ligi.
Ikumbukwe katika mchezo wa kwanza uliisha kwa sare ya mabao mawili kwa mawili baada ta Yanga kufuta uongozi wa mabao mawili ya Simba ndani ya dakika 5.