Kauli ya Mwinyi Zahera baada ya kichapo kutoka kwa Stand United.
Bao pekee la Stand United limefungwa na Jacob Massawe katika dakika ya 88,
Bao pekee la Stand United limefungwa na Jacob Massawe katika dakika ya 88,
Hapa ndipo alipofanikiwa, aliweka sumu kali sana. Sumu ambayo iliwafanya wachezaji wawe na uwezo wa kupigana sana.Leo hii vizazi vinaikumbuka Fc Porto ya Jose Mourinho. Timu ambayo ilikuwa haitazamwi kwa kiasi kikubwa.
Hata mtangulizi wa Mwinyi Zahera, George Lwandamina alidumbukia kwenye huba sema viongozi ndiyo waliosababisha aondoke.
Ajib amefanya vizuri sana kwa mwaka 2018, mpaka sasa anaongoza kwa kutoa pasi za mwisho zilizozaa goli.
Kocha mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema shida….Stori zaidi.
Kocha mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amekubali ombi….Stori zaidi.
Katika ulimwengu wa Soka, ukisikia jina la “Jose Mourinho” kuna picha nyingi zinakujia kichwani, napicha hizo zinategemeana na jinsi unavyomkumbuka mreno huyo kwa kile alichoifanyia timu yako au kwa jinsi unavyolijua soka la dunia tangu akiwa Fc Porto na vilabu vingine.
Kocha mkuu wa Yanga, Mkongoman Mwinyi Zahera amewaomba….Stori zaidi.
Siku ya jana nilizama kwa mawazo ya maswali ambayo majibu yake hadi muda huu sijayapata, anaandika Matukuta JR,
Tumekukusanyia mambo 10 ambayo kocha mkuu wa klabu ya Yanga ameyazungumza kwa masikitiko sana. Tupe maoni yako pia katika sehemu ya maoni.