Nitaacha wachezaji 19- Zahera
Harakati za usajili katika klabu ya Yanga zinaendelea kwa kasi kubwa, baada ya msimu uliomalizika kuwa na kikosi hafifu Yanga wanapigana ili wawe na kikosi ambacho ni imara.
Harakati za usajili katika klabu ya Yanga zinaendelea kwa kasi kubwa, baada ya msimu uliomalizika kuwa na kikosi hafifu Yanga wanapigana ili wawe na kikosi ambacho ni imara.
Baada ya mchezo huo kocha mkuu wa Yanga amedai kuwa mechi hiyo ilikuwa ni kama ya kirafiki kwa sababu wachezaji walikuwa wanacheza wanavyojisikia.
Klabu ya soka ya Yanga imekua katika mawindo ya kimyakimya ya wachezaji wanaowataka kuwasajili ilo kuepusha kupokwa tonge mdomoni na watani zao Simba kutokana na nguvu ya pesa walionayo chini ya Mo Dewji.
Yanga imefanikiwa sana msimu huu. Mafanikio ambayo hawaamini mpaka sasa kuwa wameyafikia mpaka muda huu.
Endapo kama itatokea, mambo mengi yatabadilika kwa upande wa Azam na Yanga kama vilabu, pia hata kwa kocha mwenyewe.
Mara ya mwisho kwa Yanga kupata cleansheet ilikuwa lini?, wakati unajiuliza jibu sahihi la swali hili kuna kitu pia unatakiwa kujiuliza sana.
Basi viongozi wanatakiwa wawape wananchi kitu ambacho kinaweza kuwa na kumbukumbu kwao, mtu akinunua kitu kinabaki kwake kuliko kumuomba mtu atoe hela bila kupata kitu chenye kumbukumbu.
Inawezekana Mwinyi Zahera hajui matamanio yetu , ndiyo maana anazidi kumbania Beno Kakolanya, ugomvi wao sisi nyasi ndiyo tunaoumia.
Yanga imepoteza michezo miwili mfululizo, wa ligi kuu mmoja na kombe la sportpesa mmoja.
Yanga imeshindwa kwa mara nyingine kuingia hatua ya nusu fainali ya michuano ya SportPesa Cup baada ya kukubali kichapo cha mabao 3-2 kutoka kwa Kariobangi Sharks ya nchini Kenya.