Mechi ngumu funga Ligi Kuu
igi Kuu Tanzania Bara imeshapata bingwa wake, Mabingwa mara 28 wa kombe hilo,Yanga SC. Zifuatazo ni mechi ambazo zinachezwa siku ya alhamisi kwaaajili ya kufunga Ligi Kuu.
igi Kuu Tanzania Bara imeshapata bingwa wake, Mabingwa mara 28 wa kombe hilo,Yanga SC. Zifuatazo ni mechi ambazo zinachezwa siku ya alhamisi kwaaajili ya kufunga Ligi Kuu.
Tuandikie jina lake na kwanini unadhani anastahili kuwa mchezaji bora wa msimu.
wautazame sana msimu ujao ni namna gani wataisuka timu yao ili iwe yenye ushindani na kuchukua taji la ubingwa
Chumba cha KandandaTz kimeangazia wachezaji muhimu ambao klabu ya Yanga inatakiwa kufanya maamuzi. Hii scout ya bure ya kibabe.
Vijana wa Juma Mgunda walipaswa wajilaumu wenyewe kama wangepoteza mchezo huo kwani walitengeneza nafasi kibao za wazi
Mchezo huu si mzuri kwa Azam kama wataruhusu waende kwenye mikwaju ya matuta kwa maana wao ndio watakua na presha zaidi.
Ni mchezo utakaowakutanisha wakubwa katika nchi hii, ukiwaondoa Simba na Yanga ni wazi Coastal Union na Azam Fc ni miongoni mwa vilabu vikubwa nchini
Licha ya Fiston Mayele kusifiwa na kuoneoana ni moja ya washambuliaji hatari katika Ligi lakini hakufanikiwa kufunga
: Asante Moalin. Asante Pablo Franco, Mechi ilichezwa sana kwenye mbinu kisha ikamalizikia kwenye Ufundi wa wachezaji.
Miongoni mwa maeneo yatakayopa ushindi Simba katika mchezo huo ni eneo la kiungo na eneo la mlinda mlango.