Wababe nane wa Ligi hawa hapa.
Shirikisho la soka nchini linatarajiwa kuendesha droo ya robo fainali pia kutaja uwanja utakaotumika katika michezo ya fainali na nusu fainali mapema mwezi huu.
Shirikisho la soka nchini linatarajiwa kuendesha droo ya robo fainali pia kutaja uwanja utakaotumika katika michezo ya fainali na nusu fainali mapema mwezi huu.
Kutokana na ushindani huo umepelekea kuwekwa kwa rekodi mbalimbali na kunogesha ligi hiyo ambayo ni namba tano kwa ubora barani Afrika.
Baada ya raundi hiyo ya nne kumalizika washindi wote watakaopata ushindi na kuvuka watakutana robo fainali ya michuano hiyo
Kiungo wa Simba aliojiunga nao katika dirisha dogo akitokea Geita Gold ndio mchezaji aliehusika katika mabao mengi zaidi [mabao 20].
Baadhi ya michezo ya 16 ni pamoja na Simba dhidi ya African Sports, Yanga dhidi ya Tanzania Prisons na Azam Fc dhidi ya Mapinduzi Fc pia Kagera Sugar atavaana na Mbeya City.
Rejea magoli ya Simba waliyoyafunga Angola dhidi ya Agosto, pia katika mchezo dhidi ya Yanga bao la Augustine Okra lilipatikana kwa kupigwa pasi tano tu.
Nchi inahitaji kuwa na falsafa yake kuhusu masuala husika, makala hii iliyoshiba inaelezea namna gani tunahitaji falsafa yetu kama nchi.
Viongozi au mashabiki hutumia nguvu ya pesa kutafuta matokeo kwa vilabu vikubwa. Kutoka mitandaoni, uchambuzi huu umeandaliwa
Nyota wote hao wawili wanakwenda kuongeza nguvu katika kikosi cha Ihefu mabingwa wa Ligi ya Championship msimu uliomalizika
Ligi kwa ujumla ilikuwa ngumu na yeye kusisimua licha ya bingwa kupatikana mapema lakini kiwango cha ushindani kilikuwa kikubwa hadi dakika ya mwisho.