Narudia tena, ongea na Sure Boy akuhadithie maisha halisi ya kuichezea Azam FC. Ongea na Mudathir Yahya akueleze nini ugumu wa kuichezea Azam FC. Hivyo vigoli vyako 16, sasa hivi ungekuwa navyo 6 au 7
Zaka pia ameongeza Mayele yupo sahihi na anaongea kitu ambacho ana uhakika nacho kwasababu mpira unachezwa hadharani.
Hii inaonyesha ni msimu bora sana kwangu mimi kwahivyo namshukuru sana Mungu, na naomba niendelee hivi mpaka mwisho wa msimu.”
Stephane Aziz Ki amefanikiwa kufunga mabao matatu katika mchezo dhidi ya Kagera Sugar
Na kipigo cha mwisho ni dhidi ya Azam Fc katika nusu fainali ambapo Simba walipoteza kwa mabao mawili kwa moja na hivyo kuondoshwa kwenye kombe hilo na kuifanya Simba kutoka tena patupu msimu huu bila kombe lolote.
Katika msimu huu pekee Azam na Simba wamekutana mara tatu, mara mbili katika Ligi ambapo Azam alishinda mchezo wa kwanza na sare katika mchezo wapili na huu wa FA ambao Simba imetolewa.
Pia Mgunda alikiri walipoteza mchezo wa Ligi raundi ya kwanza na kutoka sare wapili lakini amesema huu ni mchezo watofauti na una mbinu tofauti.
Baada ya ushindi huo sasa Mnyama Simba atakutana na Azam Fc katika nusu fainali ya michuano hiyo ya FA
Tayari ratiba ya michuano hiyo imeshatoka na sasa michezo ya robo fainali itapigwa kati ya Aprili mbili mpaka Aprili nane mwaka huu.
Mshindi wa michuano hiyo ndio ataiwakilisha nchi katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika. Hivyo ni wazi vilabu vya Azam Fc na Singida Big Stars vitaendelea kukabana koo ili kupata ushindi na kupata nafasi ya kuwakilisha nchi Kimataifa