Azam Fc: Kwa Bongo ni Feisal Salum Pekee.
Ibwe pia aliiambia Kandanda.co.tz jezi namba 10 ya Azam Fc msimu ujao itavaliwa na chuma cha kuotea mbali waachane na wakata umeme sijui jezi namba sita kama inavyosemwa na watu wa Kariakoo.
Ibwe pia aliiambia Kandanda.co.tz jezi namba 10 ya Azam Fc msimu ujao itavaliwa na chuma cha kuotea mbali waachane na wakata umeme sijui jezi namba sita kama inavyosemwa na watu wa Kariakoo.
huenda akatambulisha ndani ya masaa 48 kutokea sasa baada ya yeye mwenyewe kukiri wapo katika hatua za mwisho za kukubaliana na Kaizer Chiefs
Klabu ya Simba ipo katika mazungumzo na nyota wa zamani wa Timu ya Taifa ya Brazil U-20
Nasraddine Nabi anatarajiwa kutangazwa wiki hii na Kazier Chiefs baada ya kukubaliana katika idadi ya watu anaotaka kwenda nao Chiefs,
Simba imekuwa ikishiriki Ligi ya Mabingwa mara kwa mara, huku Yanga ikiwa imetinga fainali msimu huu kwenye Kombe la Shirikisho
Kuondoka kwa kiungo huyo kutoka Azam FC kunaashiria mwisho wa historia kubwa katika maisha yake ya soka
Baada yakutwaa kombe hilo sasa Yanga kwa msimu huu imefanikiwa kutwaa mataji mataji matatu (Ngao ya Jamii, Ligi Kuu ya NBC na kombe la FA
Ni miaka minne imepita sasa Azam Fc wamefanikiwa tena kutinga fainali akionekana mwenye uchu na njaa ya kombe hilo
Mayele na Aziz Ki wataokusa mchezo wa fainali kesho dhidi ya Azam kwasababu wameitwa kwenye majukumu ya timu zao za Taifa.
Ukitaka kujua kuchezea Azam FC ni kazi kiasi gani, waulize wachezaji waliokuwa Azam FC kisha wakaenda Simba au Yanga, au waliokuwa Simba au Yanga kisha wakaenda Azam FC,” alisema na kuongeza