Matamasha Yetu, Mashabiki, Pesa na Jamii
Mwingine atajiuliza kivipi ilihali tunaona yamefana kwelikweli? Basi nikutoe shaka Kandanda.co.tz iko hapa kukutoa wasiwasi huo;
Mwingine atajiuliza kivipi ilihali tunaona yamefana kwelikweli? Basi nikutoe shaka Kandanda.co.tz iko hapa kukutoa wasiwasi huo;
Kama Wananchi watapa matokea ya ushindi katika mchezo huo utakaopigwa Jumatano usiku basi watakwenda fainali
Wengi wanasema, Mchezaji anaweza kuwa Bora katika Timu Fulani, lakini akawa Mbovu katika Timu Nyingine; tena Bila sababu za Msingi..falsafa yetu ni ipi?
Fauka na hayo hofu yangu ni moja, je Azam wataiweza vita ya nje ya uwanja? Azam hawako vizuri
Ni ngumu sana kuzungumza kuhusu Young Africans wakati ule pasipo Yanick Bangala lakini sasa imekuwa hivyo
Mao, mwenye umri wa miaka 30, alitumia misimu miwili iliyopita huko El-Mahalla.
Michezo ya Ngao ya jamii huchezwa kwa kumaanisha kuukaribisha msimu mpya wa Ligi na hivyo ni wazi bodi ya ligi wapo mbioni kutoa ratiba ya Ligi
Wageni popote pale duniani wamekuwa wakipewa nafasi kubwa ya kuonyesha walichonacho kutoka kwao pengine ni sababu hatuwajui vema
Timu kubwa haipaswi kuwa na wachezaji waliopishana sana ubora. Kunahitajika kuwepo namba moja, mbili au tatu kwa vile hawawezi kudaka wote kwa mchezo
Alassane Diao alikosa mechi nyingi msimu huu kutokana na kuja Tanzania kufanya majaribio Azam FC kwa takribani mwezi mzima.