Tanzania kupeleka timu nne kwenye michuano ya CAF ?
Zimebaki asilimia 10 tu kwa Libya kuipiku Tanzania….Stori zaidi.
Zimebaki asilimia 10 tu kwa Libya kuipiku Tanzania….Stori zaidi.
Tukiwa tunaelekea mwisho wa mwaka 2019 , ingia ndani ya kandanda.co.tz andika kura yako kwenye tovuti na mshindi atapewa tunzo na Kandanda.co.tz
Jamii ya watu wa mpira inabidi iwe inaangalia masuala ya wachezaji katika pande zote, sio uwezo tu..afya ni muhimu.
Kwa mara ya kwanza nilimuona Ibrahim kwenye uwanja wa Uhuru, zamani ukiitwa Taifa katika fainali ya Copa CocaCola kati ya Mjini Magharibi na Tabora.
Simba imefunga mabao 139 katika ya 1,140 yote yaliyofungwa na timu za Ligi kuu msimu 2017/18 na 2018/19.
‘…tumejiandaa vya kutosha dhidi ya Kenema, na tulikuwa tukiangalia afya za wachezaji waliokuwa wamepata majeraha kidogo na naona kama wengi wako vizuri na tunamshukuru Mungu kwani tutakuwa na kikosi kamili..’
Kandanda haijakuacha nyuma pia, kama ilivyo utaratibu wetu tutaendelea kukuletea ratiba, matokeo bila kusahau wafungaji bora wa kila mwezi wa Ligi Kuu.
Simba watacheza na Township Rollers wapinzani wa kimataifa wa Yanga katika mchezo wa awali. Baada ya hapo watacheza dhidi ya Platnumz FC, Mamelodi Sundowns, Kaizer Chiefs.
Chirwa alijiunga na Azam Fc akitokea klabu ya Yanga, bao lake katika fainali ya FA liliipa nafasi Azam kwenda Shirikisho.
Je ile safari ya Etiene kutua Azam FC inaelekea kutimia, KMC wakiri kutokuendelea naye kwa msimu ujao.