Kina Morrison , Kagere kupimwa Corona !
Ligi kuu Tanzania bara mpaka sasa hivi iko….Stori zaidi.
Ligi kuu Tanzania bara mpaka sasa hivi iko….Stori zaidi.
Kandanda likiwa kwake jua tayari mipango imeanza, kushoto, kulia, mbele, nyuma kote anakua ashatizama huku akili yake ikifanya kazi kwa wepesi.
Baada ya jana mtandao huu kukuletea taarifa….Stori zaidi.
Mjadala mkubwa hivi karibuni umekuwa ni utaratibu ambao unatazamiwa kuletwa katika Ligi Kuu Tanzania bara, fuatilia makala hii ambayo inakupa kwa undani mtazamo wa suala hili kutoka kwa mwandishi.
Kutokana na athari hizo tazama nyota ambao huenda wakakosekana katika vikosi vyao.
Vilabu kama KMC, Azamfc, Simba na Yanga watawakosa baadhi ya wachezaji na makocha wao kutokana na nchi nyingi kufungwa kwa viwanja vya ndege.
Tuambie ni kwako anafaaa kua usajili bora namba moja katika dirisha dogo na nina aliekuvutia kati ya sajili hizi tano, tupe maoni maoni yako.
Tovuti ya Kandanda inakuletea baadhi ya wachezaji ambao wamekosa ama wamepoteza nafasi katika vikosi vya kwanza vya timu zao,
Katika michezo ya leo ya raundi ya 22 Simba, Azam fc na Yanga zote zimeshuka dimbani leo.
Kwa matokeo hayo maana yake kwa msimu huu Coastal wamechukua alama zote sita kwa Azam fc baada ya raundi ya kwanza kuwafunga Azam moja bila katika dimba la Mkwakwani Tanga.