
Live
0 - 14:00 pm
Mbeya City FC
Singida Utd FC
Ni Mechi ya KUJINASUA... Timu zote zinapatikana katika ukanda wa hatari. Mbeya City tayari imeshacheza michezo 10 ikiwa na alama zake 8 katika nafasi ya 18 huku Singida United imeshacheza mechi 11 ikiwa na alama 4 pekee katika nafasi ya 20 yaani ya mwisho katika msimamo wa ligi.
Matokeo
Timu | Magoli |
---|---|
Mbeya City FC | 0 |
Singida Utd FC | 1 |
Uwanja
Sokoine |
---|