Sambaza....

Live

0 - 14:00 pm
Mbeya City FC
    Singida Utd FC

      Ni Mechi ya KUJINASUA... Timu zote zinapatikana katika ukanda wa hatari. Mbeya City tayari imeshacheza michezo 10 ikiwa na alama zake 8 katika nafasi ya 18 huku Singida United imeshacheza mechi 11 ikiwa na alama 4 pekee katika nafasi ya 20 yaani ya mwisho katika msimamo wa ligi.

      vs

      Matokeo

      Mbeya City FC

      Singida Utd FC

      Uwanja

      Sokoine

      Sambaza....