Trending:Safari ya Yanga, Mikononi mwa DubeSimba na Yanga nani anaongoza kuweka mpira kwapani.Yanga Waweweseka! Gamondi Nje!Fadlu Tunaamini anawapa Ubingwa WekunduManuel Neuer ana umri sawa na uchambuzi wa soka kwa kompyutaYanga na Rekodi iliyoshindikanaRatiba ya Mechi zote Ligi Kuu TanzaniaMbappe ananini kwa Real Madrid?AZIZ KI vs KIBU DENISMadrid 3, City 3. Ya KibabeFact na Dhana Tofauti Mpira wa Aziz Ki10/10 Wachezaji wa Yanga vs MamelodYanga Baba Lao Afrika, Simba Mmmh!Simba Yawataja Itakaowapiga Chini Dirisha DogoYanga Ilivyosepa na Kijiji Msimbazi.Aishi Manula Amerudi na Fei Toto!Simba Inavyowakosea Wachezaji WaoMuargentina: Afrika Kesho Itapata Burudani KubwaSimba; Tumejiandaa Tunajua Hisia Zenu!Kariakoo Dabi Inavyogonga Afrika Nzima.Betpawa Yatoa Bilioni 53 Kwa Siku 10!Yanga Haina Wakumtegemea Kwenye KufungaKocha Yanga Aitwa Mazoezini SimbaSimba; Tutauza Zote, Moses Phiri Haendi Popote.Saa02Asb: Mabingwa wa Ulaya Mfululizo!Simba Ilivyotupa Ladha ya Soka na Matokeo ya Kiafrika.Saa02Asb: Mashabiki Wengi Katika Mchezo Mmoja.Saa02Asb: Magoli Mengi Katika Mchezo Mmoja!Saa02Asb: Bingwa wa Ulaya na Wachezaji Wazawa PekeeMaswali Magumu Yanayohitaji Majibu Cairo!Simba: Si Mmejaza Uwanja? Hatutawaangusha.Sirino: Wasauzi Walivyoiua Ndoto Yake ya Kucheza Kombe la DuniaLango la Simba Litakua Salama Chini Yake Mbele ya Al AhlyPesa na Kipaji? Vyote ni Muhimu.GUMZO: Nafasi ya Simba African LeagueTanzania Kwa Amrabat, Chama na Mayele!Simba Sc Taifa Kubwa! Wa Kimataifa.Streka Yanga Akiri Mambo MagumuMazembe Mpya Itafanikiwa!?Simba Wanavyotupa Sababu ya Kumkumbuka ManulaAzam Fc Wanavyotuchanganya Tuwaweke Kundi Gani!Putin Alivyoiweka Simba Katika Mtihani Mpya KimataifaJijji Gani Fainali za AFCON 2027 ipigwe?Aziz Ki Day: Yanga vs Al Merrikh, Shinda Jezi ya Azizi Ki.AFCON 2027, Tutafaidika PakubwaNext Big Game: Simba vs Power DynamoMashabiki wa Simba Walivyochonganishwa na Timu Yao!Sio Fei Toto Tena, ni Mudathir Yahya Zanzibar.Kanuni Ligi Kuu: UCHEZAJI WA KIUNGWANANani ana wasiwasi na MUDATHIR YAHYAWataweza Kwelii!?Gamondi Alivyotibu Tatizo Lililomshinda Nabi na WenzakeJinsi Singida Fountaine Gate Walivyoturudisha Getto!Kocha Simba: Tumecheza Vizuri Hatukustahili SareSasa Hivi Ugenini Kama NyumbaniSisi Hatumtaki Lakini Mfumo Unamuhitaji Sana!Saa02Asb: Alama Nyingi kwa Msimu Mmoja.Ngoja Tuendelee Kuisubiri Jezi Namba SitaSaa02Asb: Alama Nyingi Bila Ubingwa!Simba: Al Ahly Hawapendi Kukutana na Sisi.Saa02Asb; Michezo Mingi Bila Kupoteza EPLSaa02Asb; Magoli Mengi Mfululizo.Kwani Mechi Nyepesi Hazina Faida?Apewe Maua Yake Sio Mpaka Aondoke!Sio tu Kufuzu Lakini Tumeionyesha Afrika Rangi Nne!Mtoto wa Getto Atawezana na Wanajeshi?Saa02Asb; Hachezi Bila Bandeji Mkononi.Afcon!? Twenzetu Tena na Hawahawa Tulionao!Saa02Asb: Hajawahi Kupiga Goti Uwanjaji.Simba Wanavyotoka Uwanjani na Kuingia Mtaani KabisaSaa02Asb: Hawachezi Mechi MchanaKarata Ngumu ya Wananchi Inavyotesa Jangwani!Yanga Kuiteka Kigali na Mashabiki Wake.Kocha Simba: Nawataka Al Ahly, SiwaogopiSaa02Asb: Hawajawahi Kuwa Bora Wakati MmojaTaifa Stars: Tunaitaka Afcon ya Ivory Coast.Saa02Asb: Kipa wa Kombe la DuniaSafari ya Matumani ya Simba na Rekodi Mpya.Singida Hawajamaliza Kushusha Wasauzi!Simba Kutimkia Kenya, Kuanza na Gor MahiaMtanzania Mwingine Kukipiga Ligi ya Mabingwa UlayaFadhili Majiha Kukipiga na Mfilipino MwanzaSimba Kwenda Zambia na Mashabiki Wake, Hatma ya Inonga Hii Hapa!Wababe wa Yanga Sasa Kukipiga Saudi ArabiaSaa02Asb: Hawavai Jezi za Mikono MifupiSimba Yapewa Ratiba Mpya na CAFHawana Jezi za UgeniniBado Mbrazil Ana Nafasi Yake Pale SingidaPacome Zouzoua kwa Chama? Bado SanaMuargentina wa Yanga Ailalamikia RatibaYanga ni Rwanda na Simba Wao ni ZambiaShida ya Azam Fc ni Hii Hapa, Wala Sio KochaGamondi na Falsafa Mpya Yanga.Pwani Kumenoga Kufungua Kituo Kingine cha Soka la VijanaSio Pesa Wala Sio Muda, Vyote Bado Sio Sahihi kwa MsuvaSaa02Asb: Magoli Mengi Katika Maisha ya Kandanda.Mtihani Wa Yanga Leo Kutoka kwa Watoto wa Mjini.Saa02Asb: Magoli Mengi Ndani ya Mwaka MmojaKocha Yanga: Tutacheza Kama Timu Kubwa Kupata Matokeo.Simba na Yanga Hawana Ubavu Wakumsajili Msuva
Ulimwengu wa Soka
Mon. Feb 24th, 2025
Trending:Safari ya Yanga, Mikononi mwa DubeSimba na Yanga nani anaongoza kuweka mpira kwapani.Yanga Waweweseka! Gamondi Nje!Fadlu Tunaamini anawapa Ubingwa WekunduManuel Neuer ana umri sawa na uchambuzi wa soka kwa kompyutaYanga na Rekodi iliyoshindikanaRatiba ya Mechi zote Ligi Kuu TanzaniaMbappe ananini kwa Real Madrid?AZIZ KI vs KIBU DENISMadrid 3, City 3. Ya KibabeFact na Dhana Tofauti Mpira wa Aziz Ki10/10 Wachezaji wa Yanga vs MamelodYanga Baba Lao Afrika, Simba Mmmh!Simba Yawataja Itakaowapiga Chini Dirisha DogoYanga Ilivyosepa na Kijiji Msimbazi.Aishi Manula Amerudi na Fei Toto!Simba Inavyowakosea Wachezaji WaoMuargentina: Afrika Kesho Itapata Burudani KubwaSimba; Tumejiandaa Tunajua Hisia Zenu!Kariakoo Dabi Inavyogonga Afrika Nzima.Betpawa Yatoa Bilioni 53 Kwa Siku 10!Yanga Haina Wakumtegemea Kwenye KufungaKocha Yanga Aitwa Mazoezini SimbaSimba; Tutauza Zote, Moses Phiri Haendi Popote.Saa02Asb: Mabingwa wa Ulaya Mfululizo!Simba Ilivyotupa Ladha ya Soka na Matokeo ya Kiafrika.Saa02Asb: Mashabiki Wengi Katika Mchezo Mmoja.Saa02Asb: Magoli Mengi Katika Mchezo Mmoja!Saa02Asb: Bingwa wa Ulaya na Wachezaji Wazawa PekeeMaswali Magumu Yanayohitaji Majibu Cairo!Simba: Si Mmejaza Uwanja? Hatutawaangusha.Sirino: Wasauzi Walivyoiua Ndoto Yake ya Kucheza Kombe la DuniaLango la Simba Litakua Salama Chini Yake Mbele ya Al AhlyPesa na Kipaji? Vyote ni Muhimu.GUMZO: Nafasi ya Simba African LeagueTanzania Kwa Amrabat, Chama na Mayele!Simba Sc Taifa Kubwa! Wa Kimataifa.Streka Yanga Akiri Mambo MagumuMazembe Mpya Itafanikiwa!?Simba Wanavyotupa Sababu ya Kumkumbuka ManulaAzam Fc Wanavyotuchanganya Tuwaweke Kundi Gani!Putin Alivyoiweka Simba Katika Mtihani Mpya KimataifaJijji Gani Fainali za AFCON 2027 ipigwe?Aziz Ki Day: Yanga vs Al Merrikh, Shinda Jezi ya Azizi Ki.AFCON 2027, Tutafaidika PakubwaNext Big Game: Simba vs Power DynamoMashabiki wa Simba Walivyochonganishwa na Timu Yao!Sio Fei Toto Tena, ni Mudathir Yahya Zanzibar.Kanuni Ligi Kuu: UCHEZAJI WA KIUNGWANANani ana wasiwasi na MUDATHIR YAHYAWataweza Kwelii!?Gamondi Alivyotibu Tatizo Lililomshinda Nabi na WenzakeJinsi Singida Fountaine Gate Walivyoturudisha Getto!Kocha Simba: Tumecheza Vizuri Hatukustahili SareSasa Hivi Ugenini Kama NyumbaniSisi Hatumtaki Lakini Mfumo Unamuhitaji Sana!Saa02Asb: Alama Nyingi kwa Msimu Mmoja.Ngoja Tuendelee Kuisubiri Jezi Namba SitaSaa02Asb: Alama Nyingi Bila Ubingwa!Simba: Al Ahly Hawapendi Kukutana na Sisi.Saa02Asb; Michezo Mingi Bila Kupoteza EPLSaa02Asb; Magoli Mengi Mfululizo.Kwani Mechi Nyepesi Hazina Faida?Apewe Maua Yake Sio Mpaka Aondoke!Sio tu Kufuzu Lakini Tumeionyesha Afrika Rangi Nne!Mtoto wa Getto Atawezana na Wanajeshi?Saa02Asb; Hachezi Bila Bandeji Mkononi.Afcon!? Twenzetu Tena na Hawahawa Tulionao!Saa02Asb: Hajawahi Kupiga Goti Uwanjaji.Simba Wanavyotoka Uwanjani na Kuingia Mtaani KabisaSaa02Asb: Hawachezi Mechi MchanaKarata Ngumu ya Wananchi Inavyotesa Jangwani!Yanga Kuiteka Kigali na Mashabiki Wake.Kocha Simba: Nawataka Al Ahly, SiwaogopiSaa02Asb: Hawajawahi Kuwa Bora Wakati MmojaTaifa Stars: Tunaitaka Afcon ya Ivory Coast.Saa02Asb: Kipa wa Kombe la DuniaSafari ya Matumani ya Simba na Rekodi Mpya.Singida Hawajamaliza Kushusha Wasauzi!Simba Kutimkia Kenya, Kuanza na Gor MahiaMtanzania Mwingine Kukipiga Ligi ya Mabingwa UlayaFadhili Majiha Kukipiga na Mfilipino MwanzaSimba Kwenda Zambia na Mashabiki Wake, Hatma ya Inonga Hii Hapa!Wababe wa Yanga Sasa Kukipiga Saudi ArabiaSaa02Asb: Hawavai Jezi za Mikono MifupiSimba Yapewa Ratiba Mpya na CAFHawana Jezi za UgeniniBado Mbrazil Ana Nafasi Yake Pale SingidaPacome Zouzoua kwa Chama? Bado SanaMuargentina wa Yanga Ailalamikia RatibaYanga ni Rwanda na Simba Wao ni ZambiaShida ya Azam Fc ni Hii Hapa, Wala Sio KochaGamondi na Falsafa Mpya Yanga.Pwani Kumenoga Kufungua Kituo Kingine cha Soka la VijanaSio Pesa Wala Sio Muda, Vyote Bado Sio Sahihi kwa MsuvaSaa02Asb: Magoli Mengi Katika Maisha ya Kandanda.Mtihani Wa Yanga Leo Kutoka kwa Watoto wa Mjini.Saa02Asb: Magoli Mengi Ndani ya Mwaka MmojaKocha Yanga: Tutacheza Kama Timu Kubwa Kupata Matokeo.Simba na Yanga Hawana Ubavu Wakumsajili Msuva
Tanzania ishawahi kuwa na Kipre , huyu unaweza kumsimulia kwa hadithi tofauti kabisa. Mu-Ivory Coast aliyekuja Tanzanià kutengeneza barabara la kupitishia gari la chakula kwenda tumboni.
Huyu alikuja kufanya kazi kweli na alifanikiwa kwa kiasi kikubwa. Alikuwa mhimili mkubwa sana pale Azam Fc.
Wakati Azam FC wakiwa na bahati ya kuishi na Kipre, Simba nao waliwahi kupata bahati kubwa ya kuwa na Mavugo.
Hii ilikuwa bahati kubwa sana kwa sababu Mavugo wakati anakuja Simba, alikuja kama mfungaji bora wa ligi ya Burundi.
Kwa hiyo Simba ilikuwa imepata mfungaji ambaye alikuwa anatazamiwa kuwa na msaada mkubwa .
Lakini wote hawa wawili mwisho wao ulikuwa tofauti kabisa kama ambavyo ulivyokuwa mwanzo wao.
Mwanzo wa Kipre ulikuwa tofauti kabisa na mwanzo wa Mavugo.Kipre alikuja Azam Fc kama mchezaji kijana.
Mavugo
Mchezaji ambaye alikuwa bado hajakomaa kuwa mchezaji mkubwa. Kwa kifupi kumchukua Kipre ilikuwa ni kwa asilimia kubwa ni kamari.
Sawa alikuwa na kipaji, lakini alikuwa kijana ambaye ndiye anakuwa, kijana ambaye bado alikuwa hajadhitisha kupitia kipaji chake.
Kwa hiyo alikuja kudhitisha kipaji chake na kupevuka vizuri akiwa katika jezi ya Azam Fc. Na ndipo hapo watu wengi wakamjua.
Hii ilikuwa tofauti kabisa na kwa upande wa Mavugo. Vitabu vya hadithi ya mpira wa miguu vinanionesha kuwa Mavugo amekuja Simba kama mchezaji ambaye tayari ameshapevuka.
Amekuja Tanzania akiwa tayari ameshakuwa mfungaji bora katika ligi ya Burundi.
Simba walikuwa wamempata mchezaji ambaye tayari alikuwa ameshapevuka vizuri kwa ajili ya kuisaidia Simba.
Hii ndiyo ilikuwa tofauti kubwa sana kati ya Mavugo na Kipre, utofauti huu unaweza kuuweka kwenye sentensi moja ambayo itakufanya uelekewe vizuri.
Mavugo alikuja Simba kama shujaa, na Kipre alikuja Azam Fc kama mtu ambaye anatakiwa kuutengeneza ushujaa wake.
Kipre alifanikiwa sana, alitengeneza ushujaa wake vizuri na mwisho wake pale Azam Fc ulikuwa bora zaidi kuliko mwisho wa Mavugo.
Pamoja na kwamba Mavugo alikuja kama shujaa pale Simba, lakini aliondoka akiwa hana hilo vazi la ushujaa.
Vazi ambalo Kipre aliondoka akiwa amelivaa vizuri na ndiyo maana hata pengo lake imekuwa ngumu sana kwa Azam Fc kuziba pengo lake.
Tangu Kipre aondoke Azam Fc imekuwa ngumu kumpata mtu sahihi ambaye anaweza kuivaa nafasi yake kwa kiasi kikubwa.
Chirwa
Leo hii Azam FC ina Obrey Chirwa , mtu ambaye anacheza katika eneo ambalo Kipre alikuwa anacheza kipindi chake.
Kitu hiki huwa kinanifanya nimkumbuke sana Kipre, kwa sababu viatu vya Kipre vimempwaya sana Obrey Chirwa.
Obrey Chirwa anaweza akawa na nguvu kubwa sana, akawa na uwezo mkubwa wa kuwasumbua mabeki wa timu pinzani.
Lakini mwisho wa siku ambacho huwa anakosa ni namna ambavyo anaweza kumalizia mpira wa mwisho.
Maamuzi yake ya mwisho baada ya kufanya kazi kubwa ndiyo yanayomtofautisha Kipre na Obrey Chirwa.
Kipre alikuwa anafanya kazi kubwa sana akiwa anapambana na mabeki, na maamuzi yake ya mwisho yalikuwa bora.
Yani mpira wake wa mwisho ulikuwa bora sana. Alikuwa na uwezo wa kutoa pasi nzuri ambayo inaweza kuwa na faida kubwa kwa timu.
Pia alikuwa na uwezo wa kufunga. Hii ni tofauti sana na Obrey Chirwa. Huwa anatumia nguvu nyingi sana.
Lakini maamuzi yake ya mwisho, yani mpira wake wa mwisho huwa unakuwa tofauti kabisa.
Anaweza akatoa pasi ya mwisho ambayo unaweza ukatoa chozi. Anaweza kukosa nafasi nyingi za wazi ambazo unaweza ukauzunika.
Huyu ndiye anayefanya hadithi ya Kipre ikumbukwe sana. Hii ni tofauti kabisa na kwa Simba na hadithi yao ya Mavugo.
Mavugo alikuja Simba kama mtu ambaye anatazamiwa kufanya mazuri sana kutokana na kiwango chake.
Kagere
Lakini mwisho wa siku hakuna alichokifanya baada ya hapo. Nani alifuata?, bila shaka ni Meddie Kagere.
Meddie Kagere amekuja kutufanya tusikumbuke kama kuliwahi kutokea mtu ambaye anaitwa Mavugo.
Anafanya makubwa zaidi ambayo Mavugo aliwahi kuvifanya. Meddie Kagere mpira wake wa mwisho una madhara makubwa sana kuliko mpira wa mwisho wa Mavugo.
Ndiyo maana ana wastani mzuri wa kufunga na kutoa pasi za mwisho kuliko Mavugo ambaye alikuja na ushujaa kwenye mbuga ya msimbazi, mbuga yenye Simba na akasahau yeye ni chakula cha Simba.
Uingiapo kwa mara ya kwanza, mtandao wa kandanda.co.tz utatumia barua pepe yako kutengeneza akaunti katika mtandao huu, kisha utaweza kuingia wakati wote kwa usalama ukitumia barua pepe yako. Ungana na wanakandanda ulimwenguni kujadili soka.
SikubaliNakubali
Ingia kupitia
Nakubali kutengeneza akaunti
Uingiapo kwa mara ya kwanza, mtandao wa kandanda.co.tz utatumia barua pepe yako kutengeneza akaunti katika mtandao huu, kisha utaweza kuingia wakati wote kwa usalama ukitumia barua pepe yako. Ungana na wanakandanda ulimwenguni kujadili soka.