

Msemaji wa TFF Cliford Marion Ndimbo tayari ametaja viingilio vya mchezo huo utakaopigwa katika dimba la Benjamin Mkapa majira ya jioni siku ya Jumapili.
Mlinzi huyo wa kati alikuwepo wakati Simba inafuzu robo fainali mbele ya AS Vita katika msimu wa mwaka 2019 kabla yakutolewa na TP Mazembe robo fainali.