Simba yajitoa Kombe la Kagame
Ikumbukwe pia klabu ya Yanga ilipata mwaliko katika michuano hii na kuupokea kwa furaha zaidi.
Ikumbukwe pia klabu ya Yanga ilipata mwaliko katika michuano hii na kuupokea kwa furaha zaidi.
Michuano hiyo itafanyika katika nchi ya Rwanda ambapo Yanga atakuwa kama timu mwalikwa kwenye michuano hiyo.
Mabao mawili kutoka kwa Mo Salah na Orig, yameipa kombe la sita la Ligi ya Mabingwa Ulaya katika jiji la Madrid.
Licha ya changamoto ya uwanja lakini kikosi hicho kutoka Iringa kimeweza kuifanya fainali ‘kuwa fainali’ na walikuwa mbele kwa umiliki wa mchezo kwa muda mwingi jioni hii.
Azam Fc itawakilisha Tanzania katika michuano ya Ligi ya Shirikisho Afrika
Sevilla walioletwa nchini ni Sportpesa wanakuja kucheza na mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba Sports Club mchezo wa kirafiki wa kimataifa nchini.
Ndemla amekua akitumika kama kiungo wa chini kwa sasa na mwalimu Patrick Aussems hivyo basi katika mchezo dhidi ya Sevilla huenda akawa katika kikosi cha kwanza na kukutana na nahodha wa Sevilla.
wamemaliza ligi kwa ushindi wa mabao mawili kwa sifuri na hivyo kujihakikishia nafasi ya kucheza Europa League.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limetangaza….Stori zaidi.
Kiungo John Obi Mikel amethibitisha kwamba ataitumikia timu….Stori zaidi.