Nyuki wa ‘SIMBA’ wawavamia YANGA
Tukio hilo lilisababisha mchezo huo kusimama kwa muda , nyuki wale walihusishwa na imani za kishirikina na baadhi ya mashabiki hasa hasa mashabiki wa Yanga.
Tukio hilo lilisababisha mchezo huo kusimama kwa muda , nyuki wale walihusishwa na imani za kishirikina na baadhi ya mashabiki hasa hasa mashabiki wa Yanga.
Kwa matokeo hayo sasa ni timu za Kundi A Eritrea na Uganda ndio zitakazomenyana fainali na kuweza kumpata mshindi wa michuano hiyo kwa mwaka huu.
Kwa matokeo hayo sasa Killi Stars inakua na alama tatu baada ya michezo miwili huku Zanzibar Heroes wakibaki na alama yao moja walioipata katika mchezo wa kwanza dhidi ya Sudan.
Licha mwalimu wa Kili Stars kufanya mabadiliko kadhaa ya kuwaingiza Eliuta Mpepo, Hassan Dilunga na Ditram Nchimbi lakini juhudi zao hazikuzaa matunda na hivyo kupelekea kupoteza alama zote tatu!
Kipa wa Zanzibar pia ameonyesha kiwango kizuri katika mchezo huo kwa kuokoa michomo hatari katika lango na kuifanya Zanzibar kuambulia walau alama moja.
Juma Mgunda ametaja kikosi cha wachezaji 22 watakokwenda kuiwakilisha Tanzania Bara katika michuano hiyo mikongwe Africa
Mambo yanaendelea kupamba moto katika jiji la Mwanza.
Licha kwamba timu yake ya KRC Genk imepoteza kwa kipigo kikubwa cha 6-2 kutoka kwa Salzburg, hizi ni rekodi zake.
Mapinduzi alijibadili mara tatu kimajukumu, kwanza alikuwa beki wa kulia, Yanga inaposhambuliwa, na haya ndiyo yaliyokuwa majukumu yake ya msingi, Jukumu la pili ni kucheza kama
Mpwa ngoja nikushike sikio kabla hujaanza kusoma, ukiwa mchezoni jua hadi kipa ana nafasi ya kufunga? Chukua hiyo kwanza, sasa makumi 9 yangeleta bao 3?