Simba hii ni tofauti itafuzu nusu fainali!
Kwa mujibu wa tafiti hakuna mchezaji aliyekufa uwanjani kwa ajili ya kukaba hivyo Simba ndiyo ikawe silaha ya’ kukaba hadi kivuli’.
Kwa mujibu wa tafiti hakuna mchezaji aliyekufa uwanjani kwa ajili ya kukaba hivyo Simba ndiyo ikawe silaha ya’ kukaba hadi kivuli’.
Waziri huyo ameyasema hayo baada ya mtendaji mkuu wa Klabu ya Simba Barbara Gonzalez kuomba ulinzi kwa serikali ya Tanzania
Ukiangalia mafanikio ya Brazil kwenye kikosi chao cha mwaka 2002 kulikuwa na wachezaji 8 ambao majina yao yanaanza na R hivyo huwa tunaita kizazi cha “R”.
Alipowasiliana na Fast Post, Sredojevic alitoa ujumbe wa siri kwa kusema kwamba moyo wake, nafsi na akili yake viko kwa Pirates
Niacheni nionekane muoga tu lakini akili yangu inampitisha moja kwa moja Algeria kuchukua nafasi moja wapo kati ya hizo mbili.
Pia inaleta hofu kubwa kuelekea Afrika Kusini, tunajua kuna uhalifu mkubwa na tunaelewa changamoto zinazowakabili wananchi wa Afrika Kusini kwa sasa hivyo unaanza kuhoji aina ya mapokezi ambayo unaweza kupata
Kanoute amekua akijenga “partenership” nzuri na Jonas Mkude si tu katika michuano ya CAF lakini pia hata katika michezo ya NBC Premier League.
Simba anapaswa kijiandaa vyema kukabiliana na mpinzani wenye sifa ya kushinda au kulazimisha sare ugenini ile imani ya kwa Mkapa hatoki mtu isiwe sababu ya msingi.
Nadhani kuna haja ya kuachana na dhana ya kutumia wachezaji waliopita katika club wakati wa Career zao wakiwa wachezaji kabla ya kuturn kwenye Coaching.
Twenzetu kwa Mkapa tukaendee kuziishi ndoto zetu ambazo Simba wanazifanya kuwa kweli, twende kwa Mkapa tukaone tamu na chungu.