Nusu fainali ya wakubwa itakayoamuliwa kwa historia na mbinu.
Mchezo huu si mzuri kwa Azam kama wataruhusu waende kwenye mikwaju ya matuta kwa maana wao ndio watakua na presha zaidi.
Mchezo huu si mzuri kwa Azam kama wataruhusu waende kwenye mikwaju ya matuta kwa maana wao ndio watakua na presha zaidi.
Ni mchezo utakaowakutanisha wakubwa katika nchi hii, ukiwaondoa Simba na Yanga ni wazi Coastal Union na Azam Fc ni miongoni mwa vilabu vikubwa nchini
Yes Mwanza imepata bahati ya kuandaa mtanange huu mkubwa Afrika Mashariki na Kati na uzuri ni kwamba lazima kuwepo na mshindi, huu sio mchezo wa Ligi kwamba uishe sare
Realmadrid ndiye timu pekee yenye mafanikio kwenye michuano hii ikiwa imechukua makombe 13 ikifuatiwa na AC Milan yenye makombe 7.
Kikosi cha Yanga kipo kambini kamili gado tayari kabisa kumvaa Mnyama katika mchezo wa kisasi kwa upande wao
Makocha wote wawili ni waumini wa mifumo yenye idadi kubwa ya viungo pale kati ili kuleta usawa mzuri kwenye kushambulia na kijihami
Simba imecheza michezo mitatu ikiwa mwenyeji dhidi ya Dar City, JKT Tanzania na Pamba Fc. Sio tu imepata ushindi lakini pia..
Hivyo kuelekea mchezo wa nusu fainali ya FA ni wazi Simba atakua na kisasi cha kulipa kwa Yanga ili “ku-level scorebody”.
Katika kikosi hicho kimejumuisha wachezaji kutoka Ulaya, huku kiungo wa Simba pia akiwemo.
kwa upande wa John Bocco yeye ameendelea kukosekana na nafasi yake kuchukuliwa na mchezaji mwenzake wa Simba Kibu Denis.