Algeria wababe lakini kwa Mkapa hatoki mtu!
Dismas Kelvin John, Ben Stakie, Haji Mnoga na wengineo wakibadilishana uzoefu na nahodha Mbwana Samatta pamoja na Simon Msuva naamini hatuwezi kupoteza point zote 3.
Dismas Kelvin John, Ben Stakie, Haji Mnoga na wengineo wakibadilishana uzoefu na nahodha Mbwana Samatta pamoja na Simon Msuva naamini hatuwezi kupoteza point zote 3.
Mchezo utakua mzuri tunacheza na timu ngumu lakini pia nasisi ni washindani hivyo haitakua rahisi na hautakua mchezo mwepesi.
Kesho twendeni uwanjani tukashangilie timu yetu, hata kama itatokea bahati mbaya tumefungwa itakua ni sehemu ya mchezo maana wakati mwingine mpira una matokeo ya kikatili.
Binafsi nami nastahili pongezi zangu kwa kugundua vipaji vya mabinti wawili waliomo kwenye kikosi hichi kilichoweka historia ya nchi.
Hii ni kwa mara ya kwanza Tanzania inafanikiwa kupata ushindi na kufuzu katika michuano ya kombe la Dunia katika mchezo wa soka.
Uteuzi wa wachezaji walioanza ulikuwa mzuri sana kwa akili na maarifa ya mbinu za ulinzi zaidi (defensive mentality)kama Himid Mao.
Mimi naamini kwa timu yetu nzima naamini kwa uzoefu wa nahodha wetu Mbwana Samatta na wenzake wengi wanaocheza ndani na nje ya nchi.
Vijana wa Juma Mgunda walipaswa wajilaumu wenyewe kama wangepoteza mchezo huo kwani walitengeneza nafasi kibao za wazi
Uteuzi wa kikosi na mbinu za Pablo ndizo ziwafanya Simba waambulie patupu katika mchezo huo.
Hapa Liverpool ndipo walipoingia kwenye mtego kwa kuzidiwa idadi ya viungo badala ya kuwa 3v3 inakuwa 4v3 ndipo game ilipohamia kwao hasa mpango wa kwanza