Simba katika mstari mwembamba wa kifo na uhai!
Lakini endapo Simba watapata sare ama kupoteza maana yake ndoto zao zakufika nusu fainali mwaka huu zitakua zimekufa rasmi bila kujali matokea ya Horoya dhidi ya Raja.
Lakini endapo Simba watapata sare ama kupoteza maana yake ndoto zao zakufika nusu fainali mwaka huu zitakua zimekufa rasmi bila kujali matokea ya Horoya dhidi ya Raja.
Simba si tu hawana alama lakini pia hawajafunga bao lolote mpaka sasa katika michuano hiyo hivyo mchezo wa Vipers unatarajiwa kuwa mgumu na wakufufua matumaini yao yakufuzu robo fainali ya Klabu Bingwa Afrika.
wachezaji wazuri ndio chachu ya mafanikio katika klabu lakini Mazembe kwa sasa ina wachezaji wazuri wasiozidi watano ambao wanaweza kucheza katika klabu zetu hapa Tanzania.
Inonga, Onyango na Kennedy wawe mbele ya Manula, nina uhakika Simba watarudi nyumbani na alama tatu.
Yanga washakamilika kila idara ila wanaonesha mwanga mkubwa kuwa huko wanakoelekea watafika haraka sana kabla ya wengine.
Hili linaingia kwenye uongozi tena, yule Mangungu kama alikua na hela ya kumkatia tiketi Manzoki aje Tanzania katika kampeni za uchaguzi
Pia Juma aliwasisitiza mashabiki kutimiza wajibu wao kwasababu mpira ni starehe na burudani tosha.
Katika zoezi hilo alikuepo Afisa habari wa klabu ya Yanga Ali Kamwe ambae hakusita kuwaita Wananchi siku ya Jumapili ili kuwashangilia wachezaji wao na kuiteketeza TP Mazembe.
Wachezaji wetu wanajua jinsi ya kucheza hii michezo, yaani mchezo ukiwa unaanza hawa kina Kapombe, Tshabalala wanakua ni mara kumi na moja zaidi ya uwezo wao,”
Yanga ina kila sababu yakushinda mchezo huo wapili katika kundi lao ili kuweka matumaini yao hai yakuelekea robo fainali.