Yanga sasa wahamia Congo.
Endapo Yanga itapata ushindi katika mchezo huo wamwisho kwa wastani mzuri basi watamaliza vinara wa kundi mbele ya US Monastir ambae yeye anamaliza na kibonde Real Bamako.
Endapo Yanga itapata ushindi katika mchezo huo wamwisho kwa wastani mzuri basi watamaliza vinara wa kundi mbele ya US Monastir ambae yeye anamaliza na kibonde Real Bamako.
Mpaka sasa Simba wana alama tisa nafasi ya pili wakati wapinzani wao Raja wapo kileleni wakiwa na alama 13 hivyo matokeo yoyote hayatobadilisha msimamo wa kundi D.
Kwasasa Shomary hajaitwa kikosini Stars kiasi cha kupelekea wadau wa soka kutoa maoni tofauti na kuwa gumzo baada ya uteuzi huo wa kocha mpya wa Stars Adel Ameorouche.
Ligi hiyo imeendelea kushika kasi huku timu za JKT Tanzania, Pamba Fc, Kitayosce na Mashujaa zikipambana kupata nafasi ya kupanda Ligi kuu
Makubaliano hayo yamefanyika leo katika ukumbi wa Mlimani City ukihudhuriwa na wadau mbalimbali wa soka pamoja na waandishi wa habari za michezo nchini.
Tayari ratiba ya michuano hiyo imeshatoka na sasa michezo ya robo fainali itapigwa kati ya Aprili mbili mpaka Aprili nane mwaka huu.
Simba pia imeingia katika rekodi mbovu ya nidhamu kwani mpaka sasa katika michezo mitano wachezaji wake wameonyshwa kadi
Kufanya vyema kwa nyota hao wa Yanga kunawafanya Wananchi kushika nafasi ya tatu katika timu zenye mabao mengi katika michuano hiyo.
Neema ya fedha hizo si tu inawakuta Simba na Yanga bali pia Shirikisho la soka nchini TFF wanahusika katika fedha hizo.
Yanga si tu walipata ushindi lakini pia walicheza vyema katika dakika zote 90 na kuwadhibiti kabisa Monastir ambao hawakupata hata nafasi yakupiga shuti lililolenga lango.