Etienne kuendelea na Taifa stars
Etienne Ndayiragije alichukua nafasi ya Emmanuel Amunike ambaye alisitishiwa mkataba baada ya kufanya vibaya katika michuano ya AFCON nchini Misri.
Etienne Ndayiragije alichukua nafasi ya Emmanuel Amunike ambaye alisitishiwa mkataba baada ya kufanya vibaya katika michuano ya AFCON nchini Misri.
7-8-2019- Chakula cha usiku cha pamoja (Klabu ya Simba na Klabu ya Power Dynamos) na kisha kuwaaga wageni na kuwashukuru wadhamini wote waliofanikisha tukio la SportPesa Simba Week 2019.
Kunaweza kuwa na sababu nyingi tofauti za ndani kuhusu kuachwa kwa Kotei, lakini hizi tumeaangaza kiufundi zaidi.
Yanga bado ipo katika maandalizi ya msimu wa Ligi Kuu Tanania bara na michuano mingine ya kimataifa. Nani anafaa kuwa nahodha wa timu?
Zana atakumbukwa zaidi na jamii ya wana Simba kutokana na muonekano wake wa kipekee, ukaribu na mashabiki , vituko na aina ya uchezaji wake wa kupiga krosi yaani kumwaga maji na yakamwagika.
Tukio hili limefanikiwa kwa miaka 9 tangu kuanzishwa kwake mwaka 2009 na aliyekuwa mwenyekiti wa klabu hiyo Mzee Hassani Dalali. Maadhimisho ya miaka 10 ya Siku ya Simba huenda yakaingia
Udhamini huo pia uliambatana na zawadi za washindi wa ligi, ambao walipewa shilingi milioni 80.4, mshindi wa pili ,milioni 40.2, wa tatu 28.7, wan ne 22 na timu yenye nidhamu ilipata milioni 17.
Polisi wa Afrika ya kusini walithibitisha kuibiwa kwa pesa taslimu Paundi 500 ambayo ni sawa na zaidi ya shilingi million 1.4 za kitanzania. Polisi walifanikiwa kuwatia hatiani wafanyakazi watano
Uitwaji wa Kikosi cha Stars na jinsi kikosi hicho kinavyocheza, wadau wa soka wamekuwa wakimlaumu Amunike, na wengine kusema ilibidi aondoke baada ya kufuzu tu. Je hiki kisa unakikumbuka?
Simba itatangaza ubingwa katika mechi dhidi ya Ndanda, uwanja wa taifa au dhidi ya Singida United pale Namfua, lakini hayo yote yatakuja endapo Yanga atashinda mechi zake zote za ligi.